Yaliyomkuta Chacha Wangwe yasimkute Lissu

Nchi hii wakiona umewazidi kila kitu umaarufu, ishawishi na uungwaji mkono wanafanya kama walivyo fanya kwa Kolimba, sokoine, chacha wangwe, magufuli nahofia Lisu asiende njia hiyo.
Lissu atalindwa na hata wasio wanachadema ,watanzania walishajifunza kuhusu yaliyomkuta chacha wangwe
 
Nchi hii wakiona umewazidi kila kitu umaarufu, ishawishi na uungwaji mkono wanafanya kama walivyo fanya kwa Kolimba, sokoine, chacha wangwe, magufuli nahofia Lisu asiende njia hiyo.
Erythrocyte ni mtu makini sana naamini HAWEZI kukubali hilo litokee kwa Lissu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…