Yaliyomkuta Davido kutoka Sony, sasa ni zamu ya Ali Kiba

Yaliyomkuta Davido kutoka Sony, sasa ni zamu ya Ali Kiba

Jamaa ni mzuri, ila watu walim overate ili alete upinzani kwa Diamond kama kubalance game.

Kosa alilolifanya ni kudhani ile overate ilikuwa ya uhalisia na akaanza kulazimisha kuishi at an overated level.
usiseme kwa nguvu
 
Kheee.....kumbe hata mimi mrundi

Jamaa namfananishaga na mpishi wa pilau ambae baada ya kusifiwa, basi akaanza kuongezea manjonjo kwa kuweka asali, mapapai, nanasi, maziwa kwenye hiyo pilau akifikiri atawachizisha wateja wake kwa furaha kumbe ndio anaalibu
supu kaikomelea nazi akidhani ndio inanoga
 
Davido hakutoa mwimbo kuanzia lini hadi lini?
Wimbo wa If umetoka lini jameni? Fall je.. The sound? Au ndo majungu ya wa tz.. Mbona manfongo anatoa nyimbo kila siku na hazisikiki.
 
Kuna msanii kafanya collabo na wanigeria kibao..akamfuata Wiz kid kijamaa kina dharau akamwambia tumia english jamaa ndukiii#ujanjaujanja
 
Tokea nilipomuona kiba akitumbuiza viti Dodoma,nikajua tu anaelekea kaburini kimuziki
 
Back
Top Bottom