Yaliyomkuta dereva wa boss huko Dodoma

Sasa mpaka anamchukua hakujua kuwa ni changu? Alafu pia changu ni mtu na ana nyama kama wewe
tatizo ni kwamba unaenda kuosha shahawa za wenzio,by the way me hua sinunui malaya
 
Tabia hii ya kuparamia wanawake ni rahisi sana kuparamia majini,hata kama umeenda sehemu ambayo ni mgeni basi unataka kutafuna tu jamani kama hawa madereva wa transit(masafa marefu) ukimwi nje nje
 
Hahaha
 
Tabia hii ya kuparamia wanawake ni rahisi sana kuparamia majini,hata kama umeenda sehemu ambayo ni mgeni basi unataka kutafuna tu jamani kama hawa madereva wa transit(masafa marefu) ukimwi nje nje
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…