huu ni ujinga tu hakuna cha maana story ndefu haina mashiko.
kwani alivyokuwa nakutana na huyo rapper mbona hakuandika story?kaona mambo yamemshinda ndiyo anajidai anaandika story wasanii wetu kwa kweli elimu haiwasaisii kabisaaaaa..
Dada zetu si dhani kama wamejifunza kitu kutoka kwa Nakaaya. Pengine ajaribu kuandika kwa lugha rahisi na pengine atumie ile lugha ya sisiem (kiswahili). Kwa kweli wemgi wa dada zetu lkn hata kaka zetu wanaumia kwa matarajio makubwa maishani mambayo pengine hayatokei kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.