Yaliyompata mfalme Abraha yanamnyemelea Benjamin Netanyahu

Yaliyompata mfalme Abraha yanamnyemelea Benjamin Netanyahu

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Mkasa wa mfalme Abraha umetajwa ndani ya Qur'an suraul Fiil tukio lililotokea mwezi kama huu aliozaliwa mtume Muhammad swalaLlaahu alayhi wasaLlam.Na ndio mwezi huu huu Hamas walipofanya kile kilichoonekana hakiwezekani.

Abraha alikuwa ni mfalme wa Yemen ya sasa na alikuwa mkristo..Aliposikia kuna Alkaaba kule Makka ambako watu wanatoka miji ya jirani kwenda kuabudu. Na yeye akajenga kanisa kubwa na kuwataka watu wote waende kuabudu hapo badala ya Makka.Watu wengi wakakaidi na yeye akaamua kwenda kuivunja alkaaba iliyoasisiwa na mtume Ibrahim na mwanawe Ismajil alayhimaa salaam.

Akaondoka na jeshi bora la wakati huo lililokuwa likitumia tembo. Kwa jeuri kubwa na kujiamini akaelekea huko.Waarbu walipopata habari hizo wakaamua kwenda kujificha. Babu yake mtume Muhammad rehema na amani zimshukie ambaye alikuwa ndiye muangalizi wa nyumba hiyo akabaki kuomba dua ili Mwenyezi Mungu ailinde nyumba yake.Baada ya hapo na yeye akawafuata watu wake mafichoni.

Abraha hakujuwa kuwa msikiti ule ulikuwa na ulinzi imara wa jeshi lililoonekana. Walipokaribia eneo hilo wakaja ndege wadogo kila mmoja akiwa amebeba kijiwe chenye jina la anayekwenda kumpiga na hakikosei shabaha yake tofauti na droni za leo.vijiwe hivyo kutoka jahanamu vikawaangamiza wote wakawa kama majani yaliyoliwa na kutapikwa.Abraha mwenyewe na wenzake wachache akawachwa akiwa mnyonge kama ndege aliyeroweshwa na mvua asiyeweza kuruka anabaki akikutolea macho tu umhurumie.

Kwa jinsi Israel ilivyojisifia kwa ubora wa silaha zake haikutajiwa kuwa iko siku ingevamiwa na kupigwa na watu wenye silaha duni kama ilivyo kwa makundi ya wapalestina kule Gaza.

Kipigo hicho kimewashangaza hata wamarekani ambao ndio wafadhili wakubwa wa Israel.Kwa kuamini kwenye nguvu kubwa za kijeshi walizonazo na bila kujitafakari kilichowakuta iwapo ni wapalestina peke yao au ni nguvu tofauti wasiyoiona, Israel ikiongozwa na Netanyahu wameamua kuipiga Gaza na kuifanyia ukatili wa hali ya juu na katika tangazo la vita Benjamini Netanyahu amemaliza na kibwagizo kuwa tutashinda.

Benjamin Netanyahu hajui kuwa mwenye nguvu za kweli ni Allah aliyetukuka na ushindi wa uhakika ni wake. Kwa hali hiyo kuna dalili zote atakapoamua kufanya kibri zaidi inaweza ikawa ndio mwisho wake na mwisho wa taifa lake kwani Allah hashindwi na kuwageuzia meza ikawa kama yaliyolikuta jeshi la tembo na kamanda wao Abraha.
 
SaUUwaaa!!tuendelee na sijui nini ninii? Nyama Zipo chini!!
 
Kwahiyo Allah ndio anaruhusu kuuawa watu wasio na hatia?mkijibiwa na Israel mnakuja kutafuta huruma eti ana Allah ana nguvu kwa hiyo anawatetea magaidi
Watu ndio wanaouwana kwa roho zao mbaya.
 
Kwa hiyo Allah ndio aliwatuma Hamas wakavamie Israel na kujua watu 700+?
Ebu achani ujinga wenu bwana
Allah humsaidia mtu anayefanya juhudi katika mahitaji yake na shida zinazompata. Ukiwa unahitaji kula shika jembe ukalime sio ufungue runinga uangalie soka.

Hamas baada ya kuelemewa na maumivu na kuona hakuna mtu wa maana anayewasaidia itakuwa wamefanya juhudi na wakamuomba Allah awaunge mkono kwenye juhudi zao na yeye hakuwawacha mkono.
 
Allah humsaidia mtu anayefanya juhudi katika mahitaji yake na shida zinazompata. Ukiwa unahitaji kula shika jembe ukalime sio ufungue runinga uangalie soka.
Hamas baada ya kuelemewa na maumivu na kuona hakuna mtu wa maana anayewasaidia itakuwa wamefanya juhudi na wakamuomba Allah awaunge mkono kwenye juhudi zao na yeye hakuwawacha mkono.
Kwa hiyo kama juhudi hizo ni kujua wengine basi waendelee kupigana na Allah atawasaidia watashinda. Tusisikie malalamiko tena
 
Mkasa wa mfalme Abraha umetajwa ndani ya Qur'an suraul Fiil tukio lililotokea mwezi kama huu aliozaliwa mtume Muhammad swalaLlaahu alayhi wasaLlam.Na ndio mwezi huu huu Hamas walipofanya kile kilichoonekana hakiwezekani.

Abraha alikuwa ni mfalme wa Yemen ya sasa na alikuwa mkristo..Aliposikia kuna Alkaaba kule Makka ambako watu wanatoka miji ya jirani kwenda kuabudu. Na yeye akajenga kanisa kubwa na kuwataka watu wote waende kuabudu hapo badala ya Makka.Watu wengi wakakaidi na yeye akaamua kwenda kuivunja alkaaba iliyoasisiwa na mtume Ibrahim na mwanawe Ismajil alayhimaa salaam.

Akaondoka na jeshi bora la wakati huo lililokuwa likitumia tembo. Kwa jeuri kubwa na kujiamini akaelekea huko.Waarbu walipopata habari hizo wakaamua kwenda kujificha. Babu yake mtume Muhammad rehema na amani zimshukie ambaye alikuwa ndiye muangalizi wa nyumba hiyo akabaki kuomba dua ili Mwenyezi Mungu ailinde nyumba yake.Baada ya hapo na yeye akawafuata watu wake mafichoni.

Abraha hakujuwa kuwa msikiti ule ulikuwa na ulinzi imara wa jeshi lililoonekana. Walipokaribia eneo hilo wakaja ndege wadogo kila mmoja akiwa amebeba kijiwe chenye jina la anayekwenda kumpiga na hakikosei shabaha yake tofauti na droni za leo.vijiwe hivyo kutoka jahanamu vikawaangamiza wote wakawa kama majani yaliyoliwa na kutapikwa.Abraha mwenyewe na wenzake wachache akawachwa akiwa mnyonge kama ndege aliyeroweshwa na mvua asiyeweza kuruka anabaki akikutolea macho tu umhurumie.

Kwa jinsi Israel ilivyojisifia kwa ubora wa silaha zake haikutajiwa kuwa iko siku ingevamiwa na kupigwa na watu wenye silaha duni kama ilivyo kwa makundi ya wapalestina kule Gaza.

Kipigo hicho kimewashangaza hata wamarekani ambao ndio wafadhili wakubwa wa Israel.Kwa kuamini kwenye nguvu kubwa za kijeshi walizonazo na bila kujitafakari kilichowakuta iwapo ni wapalestina peke yao au ni nguvu tofauti wasiyoiona, Israel ikiongozwa na Netanyahu wameamua kuipiga Gaza na kuifanyia ukatili wa hali ya juu na katika tangazo la vita Benjamini Netanyahu amemaliza na kibwagizo kuwa tutashinda.

Benjamin Netanyahu hajui kuwa mwenye nguvu za kweli ni Allah aliyetukuka na ushindi wa uhakika ni wake. Kwa hali hiyo kuna dalili zote atakapoamua kufanya kibri zaidi inaweza ikawa ndio mwisho wake na mwisho wa taifa lake kwani Allah hashindwi na kuwageuzia meza ikawa kama yaliyolikuta jeshi la tembo na kamanda wao Abraha.
Hadithi za Avengers hizi
Tutoe muvi mkuu
 
Nadhani hii mada hainihusu kabisa
 
Kwahiyo Allah ndio anaruhusu kuuawa watu wasio na hatia?mkijibiwa na Israel mnakuja kutafuta huruma eti ana Allah ana nguvu kwa hiyo anawatetea magaidi

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Allah wa aina hii sio Mungu. Ndiposa kwenye qur'an wanasema Allah wao anamguu mmoja nae ndio atakuwa wa kwanza kutupwa kwenye ziwa la moto. Allah gani mpenda mauaji, ulevi na uzinzi?. Yeye hajitetei hutetewa na watu what a nonsense.
 
kumbe mnaakili fupi hivi nshapata picha Huyoo ata hao magaidi ni kama mazombi tuu hawana akili.
alah anaelinda magaidi wanaochinja nakubaka huyoo alah kiboko.
 
Mkasa wa mfalme Abraha umetajwa ndani ya Qur'an suraul Fiil tukio lililotokea mwezi kama huu aliozaliwa mtume Muhammad swalaLlaahu alayhi wasaLlam.Na ndio mwezi huu huu Hamas walipofanya kile kilichoonekana hakiwezekani.

Abraha alikuwa ni mfalme wa Yemen ya sasa na alikuwa mkristo..Aliposikia kuna Alkaaba kule Makka ambako watu wanatoka miji ya jirani kwenda kuabudu. Na yeye akajenga kanisa kubwa na kuwataka watu wote waende kuabudu hapo badala ya Makka.Watu wengi wakakaidi na yeye akaamua kwenda kuivunja alkaaba iliyoasisiwa na mtume Ibrahim na mwanawe Ismajil alayhimaa salaam.

Akaondoka na jeshi bora la wakati huo lililokuwa likitumia tembo. Kwa jeuri kubwa na kujiamini akaelekea huko.Waarbu walipopata habari hizo wakaamua kwenda kujificha. Babu yake mtume Muhammad rehema na amani zimshukie ambaye alikuwa ndiye muangalizi wa nyumba hiyo akabaki kuomba dua ili Mwenyezi Mungu ailinde nyumba yake.Baada ya hapo na yeye akawafuata watu wake mafichoni.

Abraha hakujuwa kuwa msikiti ule ulikuwa na ulinzi imara wa jeshi lililoonekana. Walipokaribia eneo hilo wakaja ndege wadogo kila mmoja akiwa amebeba kijiwe chenye jina la anayekwenda kumpiga na hakikosei shabaha yake tofauti na droni za leo.vijiwe hivyo kutoka jahanamu vikawaangamiza wote wakawa kama majani yaliyoliwa na kutapikwa.Abraha mwenyewe na wenzake wachache akawachwa akiwa mnyonge kama ndege aliyeroweshwa na mvua asiyeweza kuruka anabaki akikutolea macho tu umhurumie.

Kwa jinsi Israel ilivyojisifia kwa ubora wa silaha zake haikutajiwa kuwa iko siku ingevamiwa na kupigwa na watu wenye silaha duni kama ilivyo kwa makundi ya wapalestina kule Gaza.

Kipigo hicho kimewashangaza hata wamarekani ambao ndio wafadhili wakubwa wa Israel.Kwa kuamini kwenye nguvu kubwa za kijeshi walizonazo na bila kujitafakari kilichowakuta iwapo ni wapalestina peke yao au ni nguvu tofauti wasiyoiona, Israel ikiongozwa na Netanyahu wameamua kuipiga Gaza na kuifanyia ukatili wa hali ya juu na katika tangazo la vita Benjamini Netanyahu amemaliza na kibwagizo kuwa tutashinda.

Benjamin Netanyahu hajui kuwa mwenye nguvu za kweli ni Allah aliyetukuka na ushindi wa uhakika ni wake. Kwa hali hiyo kuna dalili zote atakapoamua kufanya kibri zaidi inaweza ikawa ndio mwisho wake na mwisho wa taifa lake kwani Allah hashindwi na kuwageuzia meza ikawa kama yaliyolikuta jeshi la tembo na kamanda wao Abraha.
Ulivyo jeusi kama tako la iddi Amin basi mwenyewe hapo unatamani kuwa mwarabu. Unajituma kwenye dini ya mwarabu kuliko hata mwarabu mwenyewe ukidhani ukifa utabadilika kuwa mwarabu.

KENGE
 
Mkasa wa mfalme Abraha umetajwa ndani ya Qur'an suraul Fiil tukio lililotokea mwezi kama huu aliozaliwa mtume Muhammad swalaLlaahu alayhi wasaLlam.Na ndio mwezi huu huu Hamas walipofanya kile kilichoonekana hakiwezekani.

Abraha alikuwa ni mfalme wa Yemen ya sasa na alikuwa mkristo..Aliposikia kuna Alkaaba kule Makka ambako watu wanatoka miji ya jirani kwenda kuabudu. Na yeye akajenga kanisa kubwa na kuwataka watu wote waende kuabudu hapo badala ya Makka.Watu wengi wakakaidi na yeye akaamua kwenda kuivunja alkaaba iliyoasisiwa na mtume Ibrahim na mwanawe Ismajil alayhimaa salaam.

Akaondoka na jeshi bora la wakati huo lililokuwa likitumia tembo. Kwa jeuri kubwa na kujiamini akaelekea huko.Waarbu walipopata habari hizo wakaamua kwenda kujificha. Babu yake mtume Muhammad rehema na amani zimshukie ambaye alikuwa ndiye muangalizi wa nyumba hiyo akabaki kuomba dua ili Mwenyezi Mungu ailinde nyumba yake.Baada ya hapo na yeye akawafuata watu wake mafichoni.

Abraha hakujuwa kuwa msikiti ule ulikuwa na ulinzi imara wa jeshi lililoonekana. Walipokaribia eneo hilo wakaja ndege wadogo kila mmoja akiwa amebeba kijiwe chenye jina la anayekwenda kumpiga na hakikosei shabaha yake tofauti na droni za leo.vijiwe hivyo kutoka jahanamu vikawaangamiza wote wakawa kama majani yaliyoliwa na kutapikwa.Abraha mwenyewe na wenzake wachache akawachwa akiwa mnyonge kama ndege aliyeroweshwa na mvua asiyeweza kuruka anabaki akikutolea macho tu umhurumie.

Kwa jinsi Israel ilivyojisifia kwa ubora wa silaha zake haikutajiwa kuwa iko siku ingevamiwa na kupigwa na watu wenye silaha duni kama ilivyo kwa makundi ya wapalestina kule Gaza.

Kipigo hicho kimewashangaza hata wamarekani ambao ndio wafadhili wakubwa wa Israel.Kwa kuamini kwenye nguvu kubwa za kijeshi walizonazo na bila kujitafakari kilichowakuta iwapo ni wapalestina peke yao au ni nguvu tofauti wasiyoiona, Israel ikiongozwa na Netanyahu wameamua kuipiga Gaza na kuifanyia ukatili wa hali ya juu na katika tangazo la vita Benjamini Netanyahu amemaliza na kibwagizo kuwa tutashinda.

Benjamin Netanyahu hajui kuwa mwenye nguvu za kweli ni Allah aliyetukuka na ushindi wa uhakika ni wake. Kwa hali hiyo kuna dalili zote atakapoamua kufanya kibri zaidi inaweza ikawa ndio mwisho wake na mwisho wa taifa lake kwani Allah hashindwi na kuwageuzia meza ikawa kama yaliyolikuta jeshi la tembo na kamanda wao Abraha.
Ukiacha mbali heroine na cocain dini ni kilevi kibaya kuliko kilevi kingine chochote kile duniani!!
Ni ujinga plus upofu!
 
Back
Top Bottom