Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana Babu yake Mtume Muhammad (Na amani iwe juu yake) alikuwa Muislamu?Mkasa wa mfalme Abraha umetajwa ndani ya Qur'an suraul Fiil tukio lililotokea mwezi kama huu aliozaliwa mtume Muhammad swalaLlaahu alayhi wasaLlam.Na ndio mwezi huu huu Hamas walipofanya kile kilichoonekana hakiwezekani.
Abraha alikuwa ni mfalme wa Yemen ya sasa na alikuwa mkristo..Aliposikia kuna Alkaaba kule Makka ambako watu wanatoka miji ya jirani kwenda kuabudu. Na yeye akajenga kanisa kubwa na kuwataka watu wote waende kuabudu hapo badala ya Makka.Watu wengi wakakaidi na yeye akaamua kwenda kuivunja alkaaba iliyoasisiwa na mtume Ibrahim na mwanawe Ismajil alayhimaa salaam.
Akaondoka na jeshi bora la wakati huo lililokuwa likitumia tembo. Kwa jeuri kubwa na kujiamini akaelekea huko.Waarbu walipopata habari hizo wakaamua kwenda kujificha. Babu yake mtume Muhammad rehema na amani zimshukie ambaye alikuwa ndiye muangalizi wa nyumba hiyo akabaki kuomba dua ili Mwenyezi Mungu ailinde nyumba yake.Baada ya hapo na yeye akawafuata watu wake mafichoni.
Abraha hakujuwa kuwa msikiti ule ulikuwa na ulinzi imara wa jeshi lililoonekana. Walipokaribia eneo hilo wakaja ndege wadogo kila mmoja akiwa amebeba kijiwe chenye jina la anayekwenda kumpiga na hakikosei shabaha yake tofauti na droni za leo.vijiwe hivyo kutoka jahanamu vikawaangamiza wote wakawa kama majani yaliyoliwa na kutapikwa.Abraha mwenyewe na wenzake wachache akawachwa akiwa mnyonge kama ndege aliyeroweshwa na mvua asiyeweza kuruka anabaki akikutolea macho tu umhurumie.
Kwa jinsi Israel ilivyojisifia kwa ubora wa silaha zake haikutajiwa kuwa iko siku ingevamiwa na kupigwa na watu wenye silaha duni kama ilivyo kwa makundi ya wapalestina kule Gaza.
Kipigo hicho kimewashangaza hata wamarekani ambao ndio wafadhili wakubwa wa Israel.Kwa kuamini kwenye nguvu kubwa za kijeshi walizonazo na bila kujitafakari kilichowakuta iwapo ni wapalestina peke yao au ni nguvu tofauti wasiyoiona, Israel ikiongozwa na Netanyahu wameamua kuipiga Gaza na kuifanyia ukatili wa hali ya juu na katika tangazo la vita Benjamini Netanyahu amemaliza na kibwagizo kuwa tutashinda.
Benjamin Netanyahu hajui kuwa mwenye nguvu za kweli ni Allah aliyetukuka na ushindi wa uhakika ni wake. Kwa hali hiyo kuna dalili zote atakapoamua kufanya kibri zaidi inaweza ikawa ndio mwisho wake na mwisho wa taifa lake kwani Allah hashindwi na kuwageuzia meza ikawa kama yaliyolikuta jeshi la tembo na kamanda wao Abraha.
Unajuwa Mwenyezi Mungu ana rehma kwa viumbe wake wote,waislamu na wasiokuwa waislamu. Kuna watu hurehemewa kwa ujinga wao na hupelekewa ujumbe ili wazinduke.Yule aliyepata ujumbe na akafanya kibri ndio huwa havumiliwi.Ina maana Babu yake Mtume Muhammad (Na amani iwe juu yake) alikuwa Muislamu?
Si alikuwa mpagani?
Avaaye asijiisifu kama avuaye. Hamas hawana cha kujisifia kwa ukatili walioufanya.Mkasa wa mfalme Abraha umetajwa ndani ya Qur'an suraul Fiil tukio lililotokea mwezi kama huu aliozaliwa mtume Muhammad swalaLlaahu alayhi wasaLlam.Na ndio mwezi huu huu Hamas walipofanya kile kilichoonekana hakiwezekani.
Abraha alikuwa ni mfalme wa Yemen ya sasa na alikuwa mkristo..Aliposikia kuna Alkaaba kule Makka ambako watu wanatoka miji ya jirani kwenda kuabudu. Na yeye akajenga kanisa kubwa na kuwataka watu wote waende kuabudu hapo badala ya Makka.Watu wengi wakakaidi na yeye akaamua kwenda kuivunja alkaaba iliyoasisiwa na mtume Ibrahim na mwanawe Ismajil alayhimaa salaam.
Akaondoka na jeshi bora la wakati huo lililokuwa likitumia tembo. Kwa jeuri kubwa na kujiamini akaelekea huko.Waarbu walipopata habari hizo wakaamua kwenda kujificha. Babu yake mtume Muhammad rehema na amani zimshukie ambaye alikuwa ndiye muangalizi wa nyumba hiyo akabaki kuomba dua ili Mwenyezi Mungu ailinde nyumba yake.Baada ya hapo na yeye akawafuata watu wake mafichoni.
Abraha hakujuwa kuwa msikiti ule ulikuwa na ulinzi imara wa jeshi lililoonekana. Walipokaribia eneo hilo wakaja ndege wadogo kila mmoja akiwa amebeba kijiwe chenye jina la anayekwenda kumpiga na hakikosei shabaha yake tofauti na droni za leo.vijiwe hivyo kutoka jahanamu vikawaangamiza wote wakawa kama majani yaliyoliwa na kutapikwa.Abraha mwenyewe na wenzake wachache akawachwa akiwa mnyonge kama ndege aliyeroweshwa na mvua asiyeweza kuruka anabaki akikutolea macho tu umhurumie.
Kwa jinsi Israel ilivyojisifia kwa ubora wa silaha zake haikutajiwa kuwa iko siku ingevamiwa na kupigwa na watu wenye silaha duni kama ilivyo kwa makundi ya wapalestina kule Gaza.
Kipigo hicho kimewashangaza hata wamarekani ambao ndio wafadhili wakubwa wa Israel.Kwa kuamini kwenye nguvu kubwa za kijeshi walizonazo na bila kujitafakari kilichowakuta iwapo ni wapalestina peke yao au ni nguvu tofauti wasiyoiona, Israel ikiongozwa na Netanyahu wameamua kuipiga Gaza na kuifanyia ukatili wa hali ya juu na katika tangazo la vita Benjamini Netanyahu amemaliza na kibwagizo kuwa tutashinda.
Benjamin Netanyahu hajui kuwa mwenye nguvu za kweli ni Allah aliyetukuka na ushindi wa uhakika ni wake. Kwa hali hiyo kuna dalili zote atakapoamua kufanya kibri zaidi inaweza ikawa ndio mwisho wake na mwisho wa taifa lake kwani Allah hashindwi na kuwageuzia meza ikawa kama yaliyolikuta jeshi la tembo na kamanda wao Abraha.
Inamana hata Bakhressa?Wavaakobazi hawajawahi kuwa na akili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pray for Palestine is coming soon [emoji41]
Sawa kwahiyo wale walivyowaua wenzao sawa.........wakirudishiwa sio sawa kweli??Visa vilivyotajwa kwenye Qur'an sio muvi ni matukio ya uhakika tunayoletewa tupate mazingatio.
Wanajihami kutokana na uvamizi kama anavyojihami ukrainKwahiyo Allah ndio anaruhusu kuuawa watu wasio na hatia?mkijibiwa na Israel mnakuja kutafuta huruma eti ana Allah ana nguvu kwa hiyo anawatetea magaidi
Hivi kweli mtu mwenye akili timamu anaweza amini vitu vya hivi? Uislam umeundwa kwa kuchakachua yaliyo kwenye Torati, Biblia na kuongeza tamaduni za kiarabu na wivu mkubwa wa kimapenzi.Mkasa wa mfalme Abraha umetajwa ndani ya Qur'an suraul Fiil tukio lililotokea mwezi kama huu aliozaliwa mtume Muhammad swalaLlaahu alayhi wasaLlam.Na ndio mwezi huu huu Hamas walipofanya kile kilichoonekana hakiwezekani.
Abraha alikuwa ni mfalme wa Yemen ya sasa na alikuwa mkristo..Aliposikia kuna Alkaaba kule Makka ambako watu wanatoka miji ya jirani kwenda kuabudu. Na yeye akajenga kanisa kubwa na kuwataka watu wote waende kuabudu hapo badala ya Makka.Watu wengi wakakaidi na yeye akaamua kwenda kuivunja alkaaba iliyoasisiwa na mtume Ibrahim na mwanawe Ismajil alayhimaa salaam.
Akaondoka na jeshi bora la wakati huo lililokuwa likitumia tembo. Kwa jeuri kubwa na kujiamini akaelekea huko.Waarbu walipopata habari hizo wakaamua kwenda kujificha. Babu yake mtume Muhammad rehema na amani zimshukie ambaye alikuwa ndiye muangalizi wa nyumba hiyo akabaki kuomba dua ili Mwenyezi Mungu ailinde nyumba yake.Baada ya hapo na yeye akawafuata watu wake mafichoni.
Abraha hakujuwa kuwa msikiti ule ulikuwa na ulinzi imara wa jeshi lililoonekana. Walipokaribia eneo hilo wakaja ndege wadogo kila mmoja akiwa amebeba kijiwe chenye jina la anayekwenda kumpiga na hakikosei shabaha yake tofauti na droni za leo.vijiwe hivyo kutoka jahanamu vikawaangamiza wote wakawa kama majani yaliyoliwa na kutapikwa.Abraha mwenyewe na wenzake wachache akawachwa akiwa mnyonge kama ndege aliyeroweshwa na mvua asiyeweza kuruka anabaki akikutolea macho tu umhurumie.
Kwa jinsi Israel ilivyojisifia kwa ubora wa silaha zake haikutajiwa kuwa iko siku ingevamiwa na kupigwa na watu wenye silaha duni kama ilivyo kwa makundi ya wapalestina kule Gaza.
Kipigo hicho kimewashangaza hata wamarekani ambao ndio wafadhili wakubwa wa Israel.Kwa kuamini kwenye nguvu kubwa za kijeshi walizonazo na bila kujitafakari kilichowakuta iwapo ni wapalestina peke yao au ni nguvu tofauti wasiyoiona, Israel ikiongozwa na Netanyahu wameamua kuipiga Gaza na kuifanyia ukatili wa hali ya juu na katika tangazo la vita Benjamini Netanyahu amemaliza na kibwagizo kuwa tutashinda.
Benjamin Netanyahu hajui kuwa mwenye nguvu za kweli ni Allah aliyetukuka na ushindi wa uhakika ni wake. Kwa hali hiyo kuna dalili zote atakapoamua kufanya kibri zaidi inaweza ikawa ndio mwisho wake na mwisho wa taifa lake kwani Allah hashindwi na kuwageuzia meza ikawa kama yaliyolikuta jeshi la tembo na kamanda wao Abraha.
Hicho kitu hakitatokea kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu.Binafsi nahisi Kuna mambo hayapo sawa kwenye historia.
Na nafikiria Kwa sasa Israel itaitwaa Gaza tena na kuwa Mali yake na huenda ikatwaa Westbank na kuwa yake,na huenda ikatwaa maeneo makubwa East bank na kuyafanya sehem yake ambapo "Hebron na Bethlehem" zitakuwa milki ya Israel.
Na Kwa hili,tusishangae msikiti WA Al Aqsa ukivunjwa na kujengwa hekalu la kiyahudi.
Mleta mada unatuaminisha kuwa allah ndie kawatuma hawa hamas kuvamia raia na kuwaua bila kosa lolote?enjamin Netanyahu hajui kuwa mwenye nguvu za kweli ni Allah aliyetukuka na ushindi wa uhakika ni wake. Kwa hali hiyo kuna dalili zote atakapoamua kufanya kibri zaidi inaweza ikawa ndio mwisho wake na mwisho wa taifa lake kwani Allah hashindwi na kuwageuzia meza ikawa kama yaliyolikuta jeshi la tembo na kamanda wao Abraha.
Sio lengo langu kukuaminisha chochote.Nakupa dalili za uwezo mkubwa wa Allah akiamua kumsikiliza anayeonewa.Hakuna teknoloji wala nini inayofanya kazi.Mleta mada unatuaminisha kuwa allah ndie kawatuma hawa hamas kuvamia raia na kuwaua bila kosa lolote?
Unatueleza kuwa huyu allah anawachukia waisrael kujilinda na kujibu uovu huu wa wapalestina?