Yaliyomtokea Makonda kwa Wajumbe huenda yakatokea kwa Tundu Lissu

Yaliyomtokea Makonda kwa Wajumbe huenda yakatokea kwa Tundu Lissu

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
6,514
Reaction score
15,247
Screenshot_20241223_165252_Google.jpg


Nimeona kura za maoni zilizo kusanywa na chombo kimoja cha habari cha online,kwamba Tundu lisu kwa mujibu wa kura za maini kapata asilimia 84 dhidi ya Mbowe asilimia 16

Ni dhahiri kwamba wananchi wa kawaida wanamkubali Tal swali linakuja je,wajumbe wapo tayar kumuunga mkono?

Hii inanikumbusha ishu ya Makonda wakati anagombania kuwa mbunge mteule wa kigamboni,kupitia kura za maoni wajumbe walivaa miwani ya jua na kumlia bati ile mbaya,ingawa wananchi walikuwa wanamkubali sana

Nayaona haya yanajirudia kupitia Chadema,Tal hakuna ubishi wa namna yoyote kwamba anakubali sana na jamii,je wajumbe hawatamvalia miwani ya jua na kumlia bati?

Ngoja tuone ..

Ni hayo tu!
 
View attachment 3183341

Nimeona kura za maini zilizo kusanywa na chombo kimoja cha habari cha online,kwamba Tundu lisu kwa mujibu wa kura za maini kapata asilimia 84 dhidi ya Mbowe asilimia 16

Ni dhahiri kwamba wananchi wa kawaida wanamkubali Tal swali linakuja je,wajumbe wapo tayar kumuunga mkono?

Hii inanikumbusha ishu ya Makonda wakati anagombania kuwa mbunge mteule wa kigamboni,kupitia kura za maoni wajumbe walivaa miwani ya jua na kumlia bati ile mbaya,ingawa wananchi walikuwa wanamkubali sana

Nayaona haya yanajirudia kupitia Chadema,Tal hakuna ubishi wa namna yoyote kwamba anakubali sana na jamii,je wajumbe hawatamvalia miwani ya jua na kumlia bati?

Ngoja tuone ..

Ni hayo tu!
 

Attachments

  • 5900516-2dae5c1f3887d759229713b8a563fcc1.mp4
    7.1 MB
View attachment 3183341

Nimeona kura za maini zilizo kusanywa na chombo kimoja cha habari cha online,kwamba Tundu lisu kwa mujibu wa kura za maini kapata asilimia 84 dhidi ya Mbowe asilimia 16

Ni dhahiri kwamba wananchi wa kawaida wanamkubali Tal swali linakuja je,wajumbe wapo tayar kumuunga mkono?

Hii inanikumbusha ishu ya Makonda wakati anagombania kuwa mbunge mteule wa kigamboni,kupitia kura za maoni wajumbe walivaa miwani ya jua na kumlia bati ile mbaya,ingawa wananchi walikuwa wanamkubali sana

Nayaona haya yanajirudia kupitia Chadema,Tal hakuna ubishi wa namna yoyote kwamba anakubali sana na jamii,je wajumbe hawatamvalia miwani ya jua na kumlia bati?

Ngoja tuone ..

Ni hayo tu!
Kura za Maini... Mbowe atashinda Ila kura za maoni hadi katika ballot box Mbowe atapigwa chini
 
 
View attachment 3183341

Nimeona kura za maini zilizo kusanywa na chombo kimoja cha habari cha online,kwamba Tundu lisu kwa mujibu wa kura za maini kapata asilimia 84 dhidi ya Mbowe asilimia 16

Ni dhahiri kwamba wananchi wa kawaida wanamkubali Tal swali linakuja je,wajumbe wapo tayar kumuunga mkono?

Hii inanikumbusha ishu ya Makonda wakati anagombania kuwa mbunge mteule wa kigamboni,kupitia kura za maoni wajumbe walivaa miwani ya jua na kumlia bati ile mbaya,ingawa wananchi walikuwa wanamkubali sana

Nayaona haya yanajirudia kupitia Chadema,Tal hakuna ubishi wa namna yoyote kwamba anakubali sana na jamii,je wajumbe hawatamvalia miwani ya jua na kumlia bati?

Ngoja tuone ..

Ni hayo tu!
Lissu anashinda mkuu mapema sana saa mbili hasubuhi, mtashangaa sana
 
View attachment 3183341

Nimeona kura za maini zilizo kusanywa na chombo kimoja cha habari cha online,kwamba Tundu lisu kwa mujibu wa kura za maini kapata asilimia 84 dhidi ya Mbowe asilimia 16

Ni dhahiri kwamba wananchi wa kawaida wanamkubali Tal swali linakuja je,wajumbe wapo tayar kumuunga mkono?

Hii inanikumbusha ishu ya Makonda wakati anagombania kuwa mbunge mteule wa kigamboni,kupitia kura za maoni wajumbe walivaa miwani ya jua na kumlia bati ile mbaya,ingawa wananchi walikuwa wanamkubali sana

Nayaona haya yanajirudia kupitia Chadema,Tal hakuna ubishi wa namna yoyote kwamba anakubali sana na jamii,je wajumbe hawatamvalia miwani ya jua na kumlia bati?

Ngoja tuone ..

Ni hayo tu!
Sidhani ni sahihi kusema kuwa Makonda alikuwa kipenzi cha wananchi. Makonda ni mjinga mmoja anayejua ku-manipulate watu wasiojielewa na siyo kila mtu. Halafu pia Magufuli alikuwa hataki Makonda agombee na alihusika kwa namna moja kumfelisha.
 
Shida imeanzia hapa alipokataa awali kwamba hatogombea
Wapi alisema hatagombea acheni unafiki , pumbavu, ametimiza haki yake kwa mjibu wa katiba ya chama sioni shida hapa , wajumbe kiokee chama , kazi kwenu wakuu.

Ikitokea umefungiwa mahala wa usipaniki kula mema ya nchi hii , ila dakika ya mwisho hakuna ambaye atkuweke mtutu wakati wa kupiga kura , pesa kula ila akili yako ibaki timamu period
 
Wapi alisema hatagombea acheni unafiki , pumbavu, ametimiza haki yake kwa mjibu wa katiba ya chama sioni shida hapa , wajumbe kiokee chama , kazi kwenu wakuu.

Ikitokea umefungiwa mahala wa usipaniki kula mema ya nchi hii , ila dakika ya mwisho hakuna ambaye atkuweke mtutu wakati wa kupiga kura , pesa kula ila akili yako ibaki timamu period
Kuna clip hapo awali kabisa alisema hatogombea ndio baadae akabadilisha gia angani
 
Hawa hawa wajumbe wanaokuambia "We kanunue Suti tu mengine tuachie sisi 😄
Wajumbe wabaya jamani asiwaambie mtu

Huwa wanasema hela zake tunakula na kura hatumpi 😄
Sijui kwanini huwa wana roho ngumu hivyo?
 
Back
Top Bottom