Yaliyonifanya niache kununua 'Dada Poa'

Shemale duuh mkuu wewe nouma.
 
siku hizi wamehamia saloon wanakufanyia scrub na kukulazimisha wakufanye masaji humo humo kwenye vyumba vya masaji mambo yanatendeka. ndani ya dakika tatu ushapoteza pesa. haya madude sijui yanadawa ukichomeka tu umemwaga fasta. ynani skills zote....
Hii kali ase
 
Virus haviwezi Penya kwenye ndom watu wangekuwa wameisha mjombmda

Ndom zishukuriwe asee ukipita weekend kwenye chochoro za wahaya kule Tandika kuna mishe mishe km mtaa wa Kongo bila ndom sijui ingekuaje
Kuna mtu alikuwa anatembea na mtu mwenye ukimwi Ila pona yake alikua anatumia kondomu, najiulizaga kondomu zisingekuwepo Hali ingekua mbaya sana
 
Mkuu show za wadada wa kawaida ni tofauti kabisa na madada poa asee, dada poa nikama wanalaana, usione ile misambwanda ukadhani ndani kuna kitu ni bure kabisa
Mambo ya mnafika mnavuana, anakuvisha mpira match inaanza hakuna mambo ya romance wala nini [emoji3]
 
Mafiati pale mataa ni hatari sana! Hasa watoto wa Mzumbe University pale wakifungua chuo ndiyo chimbo lao la kujiuza na hivi ni karibu tu na chuoni sio mbali, madereva wa magari makubwa na wengine ndiyo maeneo yao pia ya kufanyia ufuska na kusaliti ndoa zao.
 
Hakuna mwanafunzi wa chuo anajiuza pale mafiati....huijui mafiati ww
 
Hatareee moja na nusu

Sema nini kuna mabaharia wana ladha nao sanaa hao

Na pia wanapenda sana Shoo

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Ukiona hivyo anahuhuhuhusika na hy mambo
Nope mkuu, katika life langu lote nshanunua milupo mara 3 tu basi na sio Mbeya ni mikoa 2 tofauti napo ni kutokana na ugumu wa mazingira nilipokua nafanyia kazi ilipelekea ivo. Otherwise sio tabia angu, yale mazingira ni karibu na nilipokua na sehemu ya kibarua changu so nilikua najionea mengi ila sio nlkua mnunuaji nshaacha hiyo toka 2018 ilkua mara yangu ya kwanza na mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…