Yaliyonifanya niache kununua 'Dada Poa'

Boss unajiungaje humo? Naomba connection
 
Huyo black siku hiz hapush mzigo.kawa video queen siku hz.kuna wimbo wa weusi sikumbuki ni upi kavaa kipensi cha njano.yupo pia kwenye wimbo wa p the mc unaitwa nionjeshe
Assee nimemuona kwenye wimbo wa P the mc kama ndio hyo basi ni noma kweli maana kajinyea haswaa
 
Dah ushuhuda mzuri sana ubarikiwee
 
Dada poa hakuna mapenzi pale. Bora kuhudumia mwanadada wa maana kuliko kununua malaya. Halafu sijui kwanini wanakataaga kutoa sidiria[emoji23][emoji23]
Wameweka madawa yakupumbaza kwenye sidiria
 
Pale sinza Mori na ambiance afrika sana pamejaa ukimwi.. Najua sababu naishi sinza so wengi najua wameungua
 
Pale sinza Mori na ambiance afrika sana pamejaa ukimwi.. Najua sababu naishi sinza so wengi najua wameungua
Hapa ndipo huwa nachanganywa na takwimu how njombe ndo ya kwanza af dar haipo top ten,...
Au madada poa ni wabena so takwimu zipo njombe
 
Mkuu hawa viumbe huwa wana flash na kuflashiwa ukifanya mchezo anakupiga mashine[emoji23][emoji23]
 
Hongera kwa ujasiri wa kuokoka na kuachana na dada poa mkuu
 
Nataka nianze kuopoa dada poa naombeni machimbo bei nafuu kwa dsm.

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…