Yaliyonifanya niache kununua 'Dada Poa'

Huyo dada anayebadilika kuwa fisi anaitwa Matinde ... watu wa siku nyingi huwa hawamgusi na wenye macho yao ya kiroho huwa hawamgusi

Nilishawahi ona ugomvi live jamaa mwenye macho yake alimuumbua

Wewe unaona unakula mzigo kumbe ni fisi
[emoji23][emoji23]Nina jamaa yangu jina lake kabisa Matinde nimemkumbuka ghafla ila nimecheka sana
 
hawa madem wa kitaa wanapiga mno vizinga asew staki. demu anataka akutegemee kwa chakula vocha mavazi kodi ya chumba n.k duh asa huyo n mchumba au mzigo?
[emoji23][emoji23]
 
Mbeya Pazuri week end wahudumu wanavaa khanga moko
 
Ebhana si niliendaga Kimboka enzi hizo natembea usiku nikapata manzi kwa buku tatu,picha linaanza tuko kwenye foleni kusubiria chumba.

Kuingia ndani akashika ukuta na kunivalisha kondom muda huo ashachukua hela ebhana naingiza kidogo tu akanambia hela imeisha akanitolea kisu.Nikawa mpole nikava afu nikatoka nje,kufika nje polisi hao hapo mbele yangu ikabidi nirudi Kimboka tena maana kule hawaingii wanakamata waliopo nje tu.
 
Heheh siku nyingine nikaenda machimbo ya Temeke karibu na Twiga hotel kwa wahaya wenye vyumba vidogo vidogo.

Nikamkuta masai ndo anawalinda na masai lazima umwachie kitu nje,kidogo tu difenda ya polisi hiyo hapo wanakuja kukamata daah tulikimbia kama vichaa
 
Inaonekana una sura au tone ya upole sana ndio maana aka take advantage.
 
Wana chimbo lao limetulia tuliiiii ile njia kama unaenda Buguruni sokoni mitaa ya nyuma na lile kanisa la walokole.
 
Unakimbiaje na ile ni njia
OK but wahaya wana watu wao huko juu, kama kuna dolia hawafungui
 
Wana chimbo lao limetulia tuliiiii ile njia kama unaenda Buguruni sokoni mitaa ya nyuma na lile kanisa la walokole.
Usipite kichochoroni tu...kuna siku nipo pale Kimboka kuliwa kuna muziki jmosi sasa malaya wote wanapanda kwenye kile kijukwaa wanakatika kuna mmoja ni bubu wenyeji wanamjua.

Alipanda malaya mmoja mdogo ana tako sio poa si akamaliza kucheza nikamfata nje akaelekea kwenye kile kichochoro kugeuka nyuma wahuni kama saba wamenizunguka nikajitetea sana wanadai wanataka simu nikawapa buku tano wakaniacha,kumbe ni kundi moja na yule manzi wakaenda kugawana nawaona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…