Yaliyonifanya niache kununua 'Dada Poa'

Juzi nimepatwa na hali hiyo Na hivi Leo nimeenda kuungama kanisani.Tulikuwa sehemu na washkaji stori stori mara club.Sasa jamaa yangu Fundi wa kununua,mie sijazoe.Akasema nakununulia na wewe.Aisee kufika geto dushe liligoma kabisaaaa,mpaka asubuhi limegoma.Nikasema Asante Mungu kwa kujidhihirisha kwa namna ile.Ningeumia sn ningeipiga ile papuchi.Halafu ananukaaa
 
Ukifika dar uwanja wa fisi unakula kwa 3k room kwake
 
Ujanja wangu wote sipajui uwanja wa fisi, nitamtafuta mwanaccm(mwanafisiemu) mmoja anipeleke kwa kwenye huo uwanja wao
Km unatokea Ubungo shuka Manzese darajani sogea mbeke kidogo utaona lami inateremka sogea nayo kidogo utaona tena lami inachipua kulia nenda nayo hiyo saaa kisha ulizia chimbo lipo ndani ndani upabde wa kushoto

Kumejaa mateja,vibaka
Hata madada poa ni mateja
Kuibiwa na kukabwa ni kitu cha kawaida
 
we jamaa wa mbeya ..mafyati pale near makyandu guest house..nyuma ya depo ya tbl[emoji3][emoji3]
 
Asilimia kubwa ni HIV au magonjwa ya zinaa. Kama hukupata shukuru na usirudie tena huo uchafu.
 
Mkuu nisaidie contacts zake pm tafadhali.
 

mimi kula malaya wa kununua bado sanaaaaaaaaaaaaaaa....labda hawa wa tunaokula technically ....
 
kuna washikaji zangu walienda club ..kule wakaopoa madada poa..wakajisogeza nao maghetoni na kula mzigo...ila kumka asubuhi na kuangalia mademu waliowapiga waliomboleza wiki nzima....mademu wanamakovu na mapele mwili mzima...wamejikoboa lakini mkorogo ukadunda...yani ilikuwa ni aibu ya mwaka...
 
Siku hizi kuna mitandao kama bado na tinder una order mzigo online, yaani hawataki story nyingi
 
Mama ako mzazi nae haaminiwi na Mumewe qmamae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…