Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Jana kwangu nilikuwa nimetulia usiku saa 5,
Mara ghafla nikaskia mayowe kwa jirani, majirani wote tukatoka kwenda kumsaidia mwenzetu huku tukiwa tumejihami kwa mawe, marungu na mapanga.
Na tuliooingia kwake tulimkuta chatu mkubwa ajabu! Wakati tukitafakari jinsi ya kumuua usiku ule ..
Mara ghafla bin vuu umeme ukakata mtaa mzima!
Naomba malizia stori kwanza wakati mimi nafungwa bandeji hapa hospitali.
Sababu nimeshonwa nyuzi kumi kichwani!
Maana yake kila uliekuwa ukimgusa alikuwa anakufumua na kitu kizito na chenye ncha kali!
Hata sijui nilipigwa na nini??
😢 😢 😢
Mara ghafla nikaskia mayowe kwa jirani, majirani wote tukatoka kwenda kumsaidia mwenzetu huku tukiwa tumejihami kwa mawe, marungu na mapanga.
Na tuliooingia kwake tulimkuta chatu mkubwa ajabu! Wakati tukitafakari jinsi ya kumuua usiku ule ..
Mara ghafla bin vuu umeme ukakata mtaa mzima!
Naomba malizia stori kwanza wakati mimi nafungwa bandeji hapa hospitali.
Sababu nimeshonwa nyuzi kumi kichwani!
Maana yake kila uliekuwa ukimgusa alikuwa anakufumua na kitu kizito na chenye ncha kali!
Hata sijui nilipigwa na nini??
😢 😢 😢