Yaliyonikuta leo

Leo nilisema niwaige matajiri mchana wa saa 8 nile matunda tu. Muda huu naelekea kusonga ugali. Njaa inauma hadi nimeukumbuka msemo wa wahenga "IGA UFE."

Sent using Jamii Forums mobile app
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ kuna tajiri alinikuta nakula ugali mkubwa mchana akaniuliza wewe huli tena mpaka kesho au?! Nikamjibu sina uhakika ndio maana nashindilia kabisa
 
Na show ya usiku inakuwaje wakati tumboni kumejaa matikikiti maji?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] daahh
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ kuna tajiri alinikuta nakula ugali mkubwa mchana akaniuliza wewe huli tena mpaka kesho au?! Nikamjibu sina uhakika ndio maana nashindilia kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…