Yaliyonikuta Tabora 2018, sitachukua kahaba wa kulala nae tena

Umasikini wa eneo unaelezea tabia za wahusika. Hiyo ni lodge na ndiyo maana ni wajinga wajinga na wezi. Siku nyigine kalale hotel kubwa, lipa gharama kubwa na chukua baby wenye kiwango kikubwa
Ili uibiwe pesa kubwa
 
Hiyo ni sawa na kutoka salama kwenye magari dar, unaenda gongwa na gari shamba..

Ambako watoto waliona gari wanaimba kabisa gari gari gari😂🤣
Si Kila anayekaa dar ni mjanja mkuu,hao mademu wauza nyapu leo anaweza akawa tabora kesho akawa dar,kesho kutwa tunduma n.k,Kwa hiyo inatokea sometimes demu akawa mjanja zaidi ya mjuba..isitoshe malaya wa kulala naye Kuna mbinu,wengine wasiozoea hizo ishu hawazijui
 
Nimejifunza kitu hapo kuchukua chumba sio tatizo ulipokosea kujisahau au ulikua umerelax wakati unajua upo safarini.
Tangu siku hiyo nipo active sana nikichukuwa hawa wapuuzi japo nimeacha kabisa KUCHUKUWA Malaya
 
Nitajie hizo mbinuuu Sasa mbona unakuwa hivyo mkuu kama tunakuomba pesa vile dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…