Elections 2010 Yaliyotokea kwenye majimbo haya yamenisikitisha sana

Elections 2010 Yaliyotokea kwenye majimbo haya yamenisikitisha sana

mimi kwetu ukonga hakukuwa na upinzani hata kidogo wewe acha udwanzi ukonga walipinzana ccm wenyewe ktk kura za maoini, lisingegawiwa tungemngoa yule pimbi makongoro, coz maendeleo yote alihamishia kwao segeraea, na ndipo alipokuwa anakubalika sana mnafiki wa kukurya yule
 
hapana ndugu zangu kesi za uchaguzi kulingana na sheria ya uchaguzi zinatakiwa ziiishe ndani ya miaka miwili, hivyo tusipotoshwe. katika maaumizi mahaka inaweza kutoa uamuzin kuwa
1. kumtangaza mshindi halali wa uchaguzi wa jimbo husika kwa kutengua mshinid aliyetangazwa awali, ikiwa ushahidi uliopo hauna mashahka na hivyo tusiogope kwani kwa nchi zetu kupata haki ni gharama

2. kufuta matokeo ya uchaguzi na kuagiza uchaguzi kurudiwa

bado tuna nafasi ya kuwachemsaha chama cha majemedari

shime tuanze mchakato wakati watu hawajasahau machungu ya kudhulumiwa haki yao
 
hapana ndugu zangu kesi za uchaguzi kulingana na sheria ya uchaguzi zinatakiwa ziiishe ndani ya miaka miwili, hivyo tusipotoshwe. katika maaumizi mahakama inaweza kutoa uamuzi kuwa
1. kumtangaza mshindi halali wa uchaguzi wa jimbo husika kwa kutengua mshinid aliyetangazwa awali, ikiwa ushahidi uliopo hauna mashaka na hivyo tusiogope kwani kwa nchi zetu kupata haki ni gharama

2. kufuta matokeo ya uchaguzi na kuagiza uchaguzi kurudiwa

bado tuna nafasi ya kuwachemsha chama cha majemedari( e.g. makamba- luteni, kinana -kanali, kikwete- captain n.k)

shime tuanze mchakato wakati watu hawajasahau machungu ya kudhulumiwa haki yao
 
hapana ndugu zangu kesi za uchaguzi kulingana na sheria ya uchaguzi zinatakiwa ziiishe ndani ya miaka miwili, hivyo tusipotoshwe. katika maaumuzi ya mahakama inaweza kutoa uamuzi kuwa
1. kumtangaza mshindi halali wa uchaguzi wa jimbo husika kwa kutengua mshinid aliyetangazwa awali, ikiwa ushahidi uliopo hauna mashaka na hivyo tusiogope kwani kwa nchi zetu kupata haki ni gharama

2. kufuta matokeo ya uchaguzi na kuagiza uchaguzi kurudiwa

bado tuna nafasi ya kuwachemsha chama cha majemedari( e.g. makamba- luteni, kinana -kanali, kikwete- captain n.k)

shime tuanze mchakato wakati watu hawajasahau machungu ya kudhulumiwa haki yao
 
Back
Top Bottom