Yaliyotokea UDA ndiyo yatakayoipata Simba.

Yaliyotokea UDA ndiyo yatakayoipata Simba.

Tatizo lako haujui wadhamini wa Madrid wanatoa kiasi gani.
Na wadhamini wa hapa kwetu Tanzania wanatoa kiasi gani.
wadhamini wangekuwa wanatoa pesa za maana Leo yanga asingekuwa omba omba.
Hao wadhamini wanashindwa kutoa zawadi ya mshindi wa ligi.
Kuna mdhamini yeyote aliyewahi kutoa bilion moja kwa simba Au yanga?
Realmadrid na barcelona wanatembeza bakuli kama kawaida sema namna bakuli linavyo tembezwa ni tofauti kidogo na sisi.

Wadhamini ni jambo la kawaida kama yanga inavyo dhaminiwa na Quality Group au simba na Pombe ya Kilimanjaro.

Realmadrid hadi leo timu ya wanachama hakuna bwenyenye kama huyo wenu.
 
Lakini pamoja na hao wadhamini bado timu ipo kwa wanachama.

Sasa simba kwa kupenda vitu za bwerere mmeuza timu kwa maneno.
Tatizo lako haujui wadhamini wa Madrid wanatoa kiasi gani.
Na wadhamini wa hapa kwetu Tanzania wanatoa kiasi gani.
wadhamini wangekuwa wanatoa pesa za maana Leo yanga asingekuwa omba omba.
Hao wadhamini wanashindwa kutoa zawadi ya mshindi wa ligi.
Kuna mdhamini yeyote aliyewahi kutoa bilion moja kwa simba Au yanga?
 
Hakuna mtu anayetaka kuinunua simba Wala yanga. Ni hofu yenu TU. Kuna nini pale mtu anunue club haina hata vyanzo vya mapato? hela zake zitarudi vipi?
Lakini pamoja na hao wadhamini bado timu ipo kwa wanachama.

Sasa simba kwa kupenda vitu za bwerere mmeuza timu kwa maneno.
 
Unajua watu wengi mnajipotosha mnapoamini kwamba tayari kisheria simba na Mo walishafikia kupeana hizo hisa. Kilichotokea ni kwamba kuna Azimio la Mkutano mkuu wa simba kukubali kumpa Mo hisa lakini hakuna makubaliano ya kisheria yaliyofikiwa,

Ili Mo amiliki hizo hisa 49% ni lazima kuwe na makubaliano ya kisheria ambayo yatasimamiwa na pande mbili yaani Klabu ya simba na mwekezaji Mo. Nani anaweza kutuambia ni lini na wapi Simba na Mo wametiliana saini makubaliano ya kuuziana hizo hisa?

Jee ni nani anaweza kusema hizo hisa 51% za wana Simba zinapatikanaje na ziko wapi? Kwa ivo hapa watu wanajadili kama vile suala la Mo kupewa 49% ya Klabu ya simba tayari limeshatokea lakini hata mchakato wenyewe bado kabisa kuanza.

Mchakato hauwezi kuanza kama thamani halisi ya Klabu haijulikani, na Mo alisema kuwa atawekeza bilioni 20 kwenye klabu lakini hakusema atatoa bilioni 20 kwa Klabu.

Kama Klabu ikithaminishwa na kuonekana ina thamani kubwa zaidi ya shilingi bilioni 44 basi Mo inabidi aongeze fedha anazotaka kuwekeza zifanane na thamani ya hisa za Klabu zilivyo.

Na ijulikane inawezekana baada ya tathimi ikaonekana Simba thamani yake ni shilingi bilioni 10 basi hata hizo bilioni 20 za Mo zitakuwa ni zaidi ya thamani ya Klabu.

Na kuna watu wanazungumzia mashabiki kama ni sehemu ya "mtaji" wa Klabu. Hivi shabiki ana ulazima gani wa kununua Jezi za Klabu? Nani anaweza kutuambia kwa hakika kwamba Mwaka jana Simba iliuza Jezi za shilingi ngapi kwa mashabiki wake?
Sawa kaka asante kwa ufafanuzi, kama mashabiki si mtaji kwa nini alizishindwa African lyon na singida united?
 
Nyie watanzania mna vioja sana mshaaza kumletea mo mizengwe wivuu utawaua ndomana mnakua masikini wa mda wote
ha ha ha ha ha yani YANGA kuna mzee akilimali anawatia stress huku simba mzee KILOMONI anawavuruga ha ha ha
 
Kwani hela Za usajili analipa nani?
Hela za mishahara analipa nani?
Hela za Usafiri analipa nani?
Hela za kukaa kambini timu na viongozi analipa nani?
Uwanja wa boko analipa nani kujenga?
WEWE unadhani mtu ataleta TU bil 20. Akawapa simba?
anaangalia wapi awekeze kwenye club sio kutoa TU hela. Kisa kasema atawekeza bil 20.tulieni moo afanye Kazi
Kabla ya yeye hayo mambo yalikuwa hayafanyiki? Hapo we unaona kuna uwekezaji wa maana unafanyika?
 
Kwa kuwa mnapenda vitu za mbwerere siwezi kuchukua timu ambayo wanachama hawawajibiki. Igine mfano wa uwajibikaji wa wana yanga.
Tukupe wewe?

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
FB_IMG_1560584806933.jpeg
 
Wewe unaongea msimu huu ulioisha?
Haya pesa za mwaka juzi ambapo wanasimba hatukushiriki mashindano ya Africa tulizitoa wapi kina wawa,manula,boko,okwi, nk walikuja bure simba
Na hiyo pesa ya CAF kwa level ya simba sasa ivi ni kama ya usajili tu, aya mishahara posho safari watahudumia wazee wa simba,?
mo anatumia brand ya simba kwenye biashara zake bure bila kulipia chochote, hayo ndio malipo ya kuwasajili akina okwi,wawa, bado mapato ya viwanjani yanahudumia timu mishahara ,posho , mo aliwekeza kwa malipo ya kutangaza biashara zake kwa kutumia brand ya simba
 
Kinachoonekana hapa ni kwamba mleta mada hana hoja....ila anahisia kali.
[emoji1787][emoji1787]
Ni kweli jamaa hoja angetueleza mtu anavyowekeza 49% aweke 20bn je vipi mwenye 51% kaweka Sh ngapi??
Na utaratibu ukoje je utawekeza tu sehemu bila kujua mali na madeni ya kampuni unayowekeza?? Lakini yeye kaja na mawazo mgando na anashindwa kujenga hoja kaja na uswahili mtupu
 
mo anatumia brand ya simba kwenye biashara zake bure bila kulipia chochote, hayo ndio malipo ya kuwasajili akina okwi,wawa, bado mapato ya viwanjani yanahudumia timu mishahara ,posho , mo aliwekeza kwa malipo ya kutangaza biashara zake kwa kutumia brand ya simba
Lengo lenu ni nini hasa kumpiga vita huyu mdosi? Mnataka tutembeze bakuli?

Kama mapato ya uwanjani yanahudumia mishahara, posho nk. Yanga wasinge kuwa omba omba na wangelipa madai ya kina yondani, kakolanya kwa wakati
 
Makubaliano sio hayo.. anatakiwa kutia bil 20 na bodi ya simba isaini makabidhiano.
Makubaliano yapo wapi?? Na je ktk hayo makubaliano akiweka bil 20 Simba wao wanaweka ngapi?? Au hapo kwenye hiyo karatasi uliyonayo kipengele hicho hakipo? Maana kama 49% anaweka 20bn mwenye 51% anaweka zaidi ya hiyo
 
Ni kweli jamaa hoja angetueleza mtu anavyowekeza 49% aweke 20bn je vipi mwenye 51% kaweka Sh ngapi??
Na utaratibu ukoje je utawekeza tu sehemu bila kujua mali na madeni ya kampuni unayowekeza?? Lakini yeye kaja na mawazo mgando na anashindwa kujenga hoja kaja na uswahili mtupu
mara ya kwanza mo alitaka hisa 51% ili aimiliki simba, serikali ikakataa, ndio akakubali hiyo 49% kwa shingo upande. mo hawezi kufanya uwekezaji wowote wala kutoa hiyo bilion 20. mo simba yuko mguu mmoja ndani mguu mmoja nje, hata usajili sasa hivi unatumia mapato ya simba mo hatoi hata mia yake
 
Kwani mapato ta simba hatuyajui.. mfano zile bil za mashindano ya africa pamoja na ubingwa wa TPL zimeenda wapi.

Usijitoe akili
Km unayajua mapato ya champions league ni bil ngapi??
TPL wameipa Simba Sh ngapi??
Halafu utuambie gharama za Simba kuweka camp, safari, chakula, &kulala halafu uje utueleze uwekezaji wa hisa unafanyaje kazi??
 
mara ya kwanza mo alitaka hisa 51% ili aimiliki simba, serikali ikakataa, ndio akakubali hiyo 49% kwa shingo upande. mo hawezi kufanya uwekezaji wowote wala kutoa hiyo bilion 20. mo simba yuko mguu mmoja ndani mguu mmoja nje, hata usajili sasa hivi unatumia mapato ya simba mo hatoi hata mia yake
Well & good km anatumia mapato ya klabu si ndo nzuri sasa au hadi atoe yake??
MO yupo Simba kitambo km alivyokuwa Manji walisajiri, walilipa mishahara je ulishasikia wanadai??
Tatizo uswahili mtupu tz kwenye sekta zote na pia sisi hapa tunaongea hakuna aliyeusoma mkataba wa kiuwekezaji Simba walioingia nae hivyo mm naww tunaongozwa na hisia na ushabiki
 
Tatizo uswahili mtupu tz kwenye sekta zote na pia sisi hapa tunaongea hakuna aliyeusoma mkataba wa kiuwekezaji Simba walioingia nae hivyo mm naww tunaongozwa na hisia na ushabiki
Hakuna mkataba bali kuna Azimio la Mkutano Mkuu wa Simba. Ili mkataba uwepo ni lazima Klabu ya Simba ithaminishwe thamani yake ijulikane ili hiyo 49% ya hisa inayokusudiwa apewe Mo ijulikane thamani yake.

Mo alisema atawekeza kwenye Klabu ya simba shilingi Bilioni 20, hakusema atatoa shilingi bilioni 20 kununua hizo 49% ya Hisa.
 
Hiyo pesa ya mishahara ni ndogo sana ulinganisha na faida katika biashara zao wanazo pata.

Pia isije kuwa ni njia ya kutakatisha fedha haramu. Sina hakika na hili.
Well & good km anatumia mapato ya klabu si ndo nzuri sasa au hadi atoe yake??
MO yupo Simba kitambo km alivyokuwa Manji walisajiri, walilipa mishahara je ulishasikia wanadai??
Tatizo uswahili mtupu tz kwenye sekta zote na pia sisi hapa tunaongea hakuna aliyeusoma mkataba wa kiuwekezaji Simba walioingia nae hivyo mm naww tunaongozwa na hisia na ushabiki
 
Back
Top Bottom