Yaliyotokea uwanja wa Soikoine yanaleta hasira na kichefu chefu

Yaliyotokea uwanja wa Soikoine yanaleta hasira na kichefu chefu

Kilichotokea uwanja wa Sokoine Mbeya ni matusi, uonevu,kebehi,dharau,na manyanyaso kwa wapenda soka na michezo kwa ujumla.

CCM kwa makusudi huku wakijua kuwa Yanga watacheza mechi kesho tar.27/12/2019, jana wameruhusu kufanyika tamasha la mziki ndani ya uwanja huohuo ambao unasifa ya kuwa na matope km jaruba la mpunga. Tamasha lenyewe naskia lilikuwa la bure sasa kulikuwa na ulazma gani wa kufanya ndani ya uwanja?

Kwa picha nilizoziona uwanja haufai kabsa kuweza kuchezewa mechi ya hadhi ya ligi kuu kesho. Ntashangaa sn km timu zitaridhia kucheza kwenye hilo jaruba. Nitashangaa km Azam Media watakubali kuonyesha mpira kupitia television yao yenye viwango vya kimataifa.Ni aibu. Naskia hata waziri wa michezo Mwakyembe nae alikuwepo kwenye hilo tamasha. Sjui ataongea nn akisikia timu zimegoma kucheza!

Ndio maana huwa nafurahi timu ya Taifa ikifungwa,sababu ya huu usanii,upuuzi, na ubabaishaji unaoendelezwa kwa maksudi. Tukiwaambia waturudishie viwanja vyetu hawataki.

Wanaudhi sn hawa jamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Uwanja haufai
 
Kilichotokea uwanja wa Sokoine Mbeya ni matusi, uonevu,kebehi,dharau,na manyanyaso kwa wapenda soka na michezo kwa ujumla.

CCM kwa makusudi huku wakijua kuwa Yanga watacheza mechi kesho tar.27/12/2019, jana wameruhusu kufanyika tamasha la mziki ndani ya uwanja huohuo ambao unasifa ya kuwa na matope km jaruba la mpunga. Tamasha lenyewe naskia lilikuwa la bure sasa kulikuwa na ulazma gani wa kufanya ndani ya uwanja?

Kwa picha nilizoziona uwanja haufai kabsa kuweza kuchezewa mechi ya hadhi ya ligi kuu kesho. Ntashangaa sn km timu zitaridhia kucheza kwenye hilo jaruba. Nitashangaa km Azam Media watakubali kuonyesha mpira kupitia television yao yenye viwango vya kimataifa.Ni aibu. Naskia hata waziri wa michezo Mwakyembe nae alikuwepo kwenye hilo tamasha. Sjui ataongea nn akisikia timu zimegoma kucheza!

Ndio maana huwa nafurahi timu ya Taifa ikifungwa,sababu ya huu usanii,upuuzi, na ubabaishaji unaoendelezwa kwa maksudi. Tukiwaambia waturudishie viwanja vyetu hawataki.

Wanaudhi sn hawa jamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Umechukia mmechelewa kufukia mahirizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
0
Wakazi wa Mbeya wamekosa nafasi ya kuishangilia timu yao ya Mbeya kwa sababu ya ccm kutaka kumtafutia Ubunge Dr Tulia? Yaani mapema namna hii Dr Tulia anaanza kuonyesha kujipenda mwenyewe kuliko wana Mbeya?
Kawadharau sana Mbeya! Kawaona kama hawana akili kabisa, na hili hawawezi kusahau

Sent using Jamii Forums mobile app
Bora tumemwona Diamond kuliko jitimu ambalo halikawii kutulazimisha tulichangie.
 
Back
Top Bottom