Yamemkuta, anaomba ushauri

Yamemkuta, anaomba ushauri

MAGISAC

Member
Joined
Sep 6, 2011
Posts
97
Reaction score
26
Habari zenu wana JF. Nina rafiki yangu na ni jirani yangu wa karibu ambaye katika story mara nyingi alipenda kumsifia mumewe kuwa ni mwaminifu kupita kiasi hawezi kumcheat. Kumbe inaonekana jamaa alikuwa na mazoea ya kutoka nje lakini alikuwa anazingatia vigezo na masharti ya kuwa na nyumba ndogo. Jana ikatokea km bahati mbaya jirani akawa anachezea simu ya mumewe mara akaingia katika inbox na kukutana na sms za mapenzi toka kwa hawala kuwa anamshukuru kwa penzi tamu alilompa kwenda kwenye sent item akakumbana na jibu la mumewe kuwa hiyo ilikuwa cha mtoto ngoja wakutane tena. Bibie akatoka amepanic na kuja kwangu huku analia anaomba ushauri afanye nini. Nimeamua kuwashirikisha ili walau nipate mawazo yenu nijue nimshauri nini kwa sababu hajajiunga JF.
 
Habari zenu wana JF. Nina rafiki yangu na ni jirani yangu wa karibu ambaye katika story mara nyingi alipenda kumsifia mumewe kuwa ni mwaminifu kupita kiasi hawezi kumcheat. Kumbe inaonekana jamaa alikuwa na mazoea ya kutoka nje lakini alikuwa anazingatia vigezo na masharti ya kuwa na nyumba ndogo. Jana ikatokea km bahati mbaya jirani akawa anachezea simu ya mumewe mara akaingia katika inbox na kukutana na sms za mapenzi toka kwa hawala kuwa anamshukuru kwa penzi tamu alilompa kwenda kwenye sent item akakumbana na jibu la mumewe kuwa hiyo ilikuwa cha mtoto ngoja wakutane tena. Bibie akatoka amepanic na kuja kwangu huku analia anaomba ushauri afanye nini. Nimeamua kuwashirikisha ili walau nipate mawazo yenu nijue nimshauri nini kwa sababu hajajiunga JF.

kwani yeye alidhani kufunga ndoa ndio kupewa hati miliki ya mtu mwingine?

a grow up aache kulia lia.
 
utamsaidia nini hapo.

Mwambie ajifunze kufanya maamuzi magumu inapohitajika.
 
Habari zenu wana JF. Nina rafiki yangu na ni jirani yangu wa karibu ambaye katika story mara nyingi alipenda kumsifia mumewe kuwa ni mwaminifu kupita kiasi hawezi kumcheat. Kumbe inaonekana jamaa alikuwa na mazoea ya kutoka nje lakini alikuwa anazingatia vigezo na masharti ya kuwa na nyumba ndogo. Jana ikatokea km bahati mbaya jirani akawa anachezea simu ya mumewe mara akaingia katika inbox na kukutana na sms za mapenzi toka kwa hawala kuwa anamshukuru kwa penzi tamu alilompa kwenda kwenye sent item akakumbana na jibu la mumewe kuwa hiyo ilikuwa cha mtoto ngoja wakutane tena. Bibie akatoka amepanic na kuja kwangu huku analia anaomba ushauri afanye nini. Nimeamua kuwashirikisha ili walau nipate mawazo yenu nijue nimshauri nini kwa sababu hajajiunga JF.
Mshauri kwanza ajiunge JF, then ndio nitoe ushauri kwa mhusika.....!
 
Kua uyaone, mwambie hilo tu..Halafu huyo jamaa hakuzaliwa kwa ajili yake tu!
 
ndoa ni ya muda gani?,kupanic ni kawaida atatulia, kwa sasa usitoe ushauri wowote kwa sababu there's nothing you can do about it hayo mambo ni yao wawili na mumewe, baada ya muda kidogo yeye mwenyewe atapata jibu aendeshe vipi ndoa yake. Hebu fikiria kama mko kwenye ndoa miaka ishirini,anything is bound to happen! Mara nyingi tunajiwekea nadhiri ngumu wakati tunaolewa kwamba mume hatanicheat na kila wakati tunaishi kwa kuhakikisha hilo halitokei lakini bahati mbaya sana sio reality ya maisha haya!
 
Kapata alichokua anakitafuta.. Mwambie ameze Kama tamu Kama chungu ateme...na akome kupekura simu ya mumewe..

yeye mwenyewe anajuta kusoma na hakuwa na mazoea hayo ndo maana mumewe hakuwa makini kuzifuta kama wengi wafanyavyo.
 
..atulie tu aongee vyema na mmewe huku akitafuta wapi palipata nyufa na apazibe,hawala ni kiumbe asiye na haki ingawa ni mwerevu na makini ktk usafi wa mwili,akili na mtundu wa mambo flani..kitu ambacho hata walio kwenye ndoa wanaweza kuwa navyo..nachoogopa ninyi wamama wa leo umekosa kabisa nafasi za ku-update ufahamu wenu juu ya maisha na mahusiano,kiasi mwafanya studio zenu zikose mvuto,acheni usanturi/kunenepa bila mpangilio,ongezeni kiu ya kuyaboresha maisha yenu kila ki2 kitakuwa pouwa..
Angalizo: YALIYOMKUTA NI YA KAWAIDA SANA HUKU NJE TUKO SIYE AMBAO TUNAUMIZA ZAIDI KO ASIJARIBU KUJA ASIJE OMBA SUB NA PIPO ZA AHERA BURE..
 
mwambie atafute kidume cha mbegu akigawie na yeye ili ngoma iwe draw
 
ndoa ni ya muda gani?,kupanic ni kawaida atatulia, kwa sasa usitoe ushauri wowote kwa sababu there's nothing you can do about it hayo mambo ni yao wawili na mumewe, baada ya muda kidogo yeye mwenyewe atapata jibu aendeshe vipi ndoa yake. Hebu fikiria kama mko kwenye ndoa miaka ishirini,anything is bound to happen! Mara nyingi tunajiwekea nadhiri ngumu wakati tunaolewa kwamba mume hatanicheat na kila wakati tunaishi kwa kuhakikisha hilo halitokei lakini bahati mbaya sana sio reality ya maisha haya!

Nshukuru kwa busara na maoni yako. Ndoa ina miaka minne.
 
Back
Top Bottom