Yamenikuta jamani!!

Budodi12

Member
Joined
Aug 8, 2011
Posts
48
Reaction score
13
Kuna mdada ambaye nimetokea kumpenda sana, at first hakuonekana kuniaccept akanishauri kusaka girl friend.
Niliufuata ushauri wake na kweli nakabahatika kumnasa mdada mwingine. Cha ajabu huyu mdada sikumpenda ila nilimtamani tu.
Nilimfahamisha yote hayo huyu mdada ambaye nilimpenda sana. Baada ya kumfahamisha hayo ndipo akanijibu 'I LOVE YOU TOO'
ni kweli alionekana kunipenda sana na nikachukua uamuzi wa kumtosa yule mdada niliye mtamani.
Ni miezi minne sasa imepita!
Siku moja nilichukuwa simu yake nikakuta jina ka save 'MY WANGU'. Niliexpect pengine ingekuwa namba yangu lakini haikuwa hivyo. Sikumuambia kitu chochote kuhusiana na hiyo namba.
Siku hizi kila ninapompigia simu anadai yuko bize au sometime anazima simu kabisa. Ninapomtext hata harespond, NO Missed call no SMS!
Naombeni ushauri ndugu zangu...
 
Siku hizi kila ninapompigia simu anadai yuko bize au sometime anazima simu kabisa. Ninapomtext hata harespond, NO Missed call no SMS!
Naombeni ushauri ndugu zangu...
Chapa lapa
 
Kaaazi kweli kweli!!

Sasa wewe mtu anakwambia utafute mtu mwingine alafu ukishampata ndo anakwambia anakupenda unamuelewaje?!

Anapenda kucheza na hisia za watu wengine...pengine ndio starehe yake.Ondoke na usiangalie nyuma!
 
....unakumbuka umri gani ulifunzwa a, e, i, o, u?
Uliwahi kuimba 'baa baa black sheep?'..."umesoma" lakini hujaelimika!


...chaguo ni lako, ubakie kondoo wa kafara au wa sadaka,...ni weye unavyojithaminisha.
 
Uliambiwa tangu mwanzo kuwa haupendwi we ukajidai una upendo wa dhati......haya sasa, hata nafasi yako ya reserve amekudisqualify!!! Ukitaka vumilia ili ubaki kuwa mshika pembe mzee wa kumwagwa na kumiminwa!!
 
<br />
<br />
unauliza majibu! Kusoma hujui hata picha huoni! Subiri hapo hapo!
 
hiyo inaitwa blessing in disguise...

una close the chapter...
unaanza upya.....
 
umeacha mbachao wewe .... aka umetema big g kwa karanga tena karanga za kuonjeshwa
 
Kuna mdada ambaye nimetokea kumpenda sana, at first hakuonekana kuniaccept akanishauri kusaka girl friend. ...

Mara nyingi inakuwa hivyo..wanaume mmezidi kudanganya kina dada..alitaka aone pumzi zako..

Niliufuata ushauri wake na kweli nakabahatika kumnasa mdada mwingine. ...

Kosa kubwa ..huna msimamo

Cha ajabu huyu mdada sikumpenda ila nilimtamani tu. ...

First choice is always right


Nilimfahamisha yote hayo huyu mdada ambaye nilimpenda sana. Baada ya kumfahamisha hayo ndipo akanijibu 'I LOVE YOU TOO'...

Nadhani alikuonea huruma..ningekuwa mimi ningekupiga kiibuti kwa kosa la kutokuwa na msimamo..


ni kweli alionekana kunipenda sana na nikachukua uamuzi wa kumtosa yule mdada niliye mtamani. ...

Hayo ni mawazo yako na wala si yake.. ulitakiwa kujua hilo..

Ni miezi minne sasa imepita! ...
Siyo mingi ati..watu tulifukuza swala miaka..


Siku moja nilichukuwa simu yake nikakuta jina ka save 'MY WANGU'. Niliexpect pengine ingekuwa namba yangu lakini haikuwa hivyo. Sikumuambia kitu chochote kuhusiana na hiyo namba. ...
.. Ulifanya vizuri.. ni tabia mbaya kuhisi jambo usilojijua..

Siku hizi kila ninapompigia simu anadai yuko bize au sometime anazima simu kabisa. Ninapomtext hata harespond, NO Missed call no SMS! ...
Kipindi cha mpito na kusaga meno..lakini kipindi kizuri cha kujua pumba na mchele



Naombeni ushauri ndugu zangu...
Tafuta ukweli toka kwake.. Keep it at low profile..inawezekana ni wako..lakini pia inawezekana sio wako..usichukue jazba..wanawake wako makini na wanajua wanafanya nini..Kama ameamua anakupiga kibuti basi atakwambia ila fanya kila njia muweke kwenye kona akuambie ukweli na ufunge kitabu ...ukiwa na jazba hatokwambia&#8230; kama anataka kula hela zako..hatokwambia..yaani atakula hela zako na siku moja atakupiga kibuti..
Tumia busara upate jibu la ndio au hapana yaani kibuti ili kuokoa hela zako..usilazimishe penzi..lakini tafuta ukweli..labda bado anakupenda..
 
Mfate yule uliyemtamani, umemtosa mdada wa watu baada ya kumwambia unampenda, Mungu kakurudishia kofi, rudi kule, au tulia subiria utapata mwingine
 
@TULIZO<br />
Tafuta ukweli toka kwake.. Keep it at low profile..inawezekana ni wako..lakini pia inawezekana sio wako..usichukue jazba..wanawake wako makini na wanajua wanafanya nini..Kama ameamua anakupiga kibuti basi atakwambia ila fanya kila njia muweke kwenye kona akuambie ukweli na ufunge kitabu ...ukiwa na jazba hatokwambia&#8230; kama anataka kula hela zako..hatokwambia..yaani atakula hela zako na siku moja atakupiga kibuti.. &lt;br /&gt;<br />
Tumia busara upate jibu la ndio au hapana yaani kibuti ili kuokoa hela zako..usilazimishe penzi..lakini tafuta ukweli..labda bado anakupenda..[/QUOTE]&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;

USHAURI WAKO NITAUZINGATIA!
 
akufukuzae hakwambii toka,
kama unajua kusoma harama za nyakati kwa sasa ndo mida yake
 


Mapenzi hayana formulae.. IMO ni kua huyo mdada hajielewi ni nini anataka... na inaonesha kuna mtu (mpenzi wake) anaechukua nafasi kubwa katika maisha yake - ambae anaweza akawa anamhitaji kuliko hata huko kumpenda... Na maisha ya sasa kwa walio wengi ime prove kua kupenda peke yake sio kigezo pekee cha kua/kukubaliana kuingia katika mahusiano na mtu......

Nimependa saana post ya Tulizo hasa pa kusema tafuta ukweli toka kwake (mdada...)... Pole saana na hio heartbreak....
 
akufukuzae hakwambii toka,&lt;br /&gt;<br />
kama unajua kusoma harama za nyakati kwa sasa ndo mida yake
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
but why asingeniweka wazi mapema.
Honestly kabla sija find out hili nilikuwa nikiamini kweli ananipenda coz alikuwa very positive na alicommit hana mwingine zaidi yangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…