Yamenikuta leo Mama G

Okay sawaa...ila nyumba zetu za kibongoo haziko hvyo hapa narecall movie nilizoziona almost zote milango yafunguka kwa nje
ndio inatakiwa hivyo... alaf kuna ishu ya FAKE WALL.. in case of fire una exit nje fasta tu bila ya kutumia nguvu... mbinu zote hizo watu hawazijui wengi.. ndio maana wana dedi kama panya wa sokoni
 
Mambo hayo mpk ufahamu na ndo twajifunza
yah.. kama umejenga au una mpango wa kujenga... unaweza kutega sehemu fulani katika nyumba yako unaweka hiyo FAKE WALL.. muhimu sana.. wenye pesa huwa wanaweka FAKE ROOM,FAKE DOOR.. kama jambaz haijui ramani ya nyumba... anazunguka kote ila hauonekani.. au anakuta ushasepa nje
 
Umenipa akili ngoja nimpe ,contractor Wangu hii kitu,ahsante JF ,ahsante mleta post
 
Inakuwaje hiyo fake yaan?
 
Inakuwaje hiyo fake yaan?
FAKE inakuja pale sisi wageni tunaamini kuwa nyumba nzima kingo zake ni zimejengwa kwa TOFALI.. kumbe kuna sehemu mwenye nyumba (FAMILIA pekee) wanajua kuwa kuna material mepesi yamejengewa means ukitumia nguvu kupita unapitiliza hadi nje.. au unaweza kufungua kwa kutegua kibao au wengine kwa USIRI zaidi huwa wanaweka kabati mbele ya fake wall au wanaweka PICHA kubwa mbele yake.. ikitokea la kutokea anashusha picha anapita na teke kidogo tu..(kama hana muda wa kutegua kibao au kiloki)

mie nimepanga fake door yangu naisetia CHUMBANI.. katika kabati la nguo.. nyuma yake naiweka hiyo exit way.. means nafungua kabati najifungia ndani ya kabati.. natekenya kijiukuta changu cha mbao.. kinaporomoka natoka zangu nje... MIJAMBAZI/MOTO/FUMANIZI vyote naepuka kirahisi...
 
Hii idea yako nimeichukua,naifanyia kazi ,ahsante Mkuu
 
Taken!
 
SI UNAJUA MAJAMBAZI wa KIBONGO wakikukuta sebleni unaangalia TV wanakuambia hela iko wapi?? ukiwaambia ipo chumbani.. wanakuacha uende ukazilete... wakijua huwezi kutoroka.. kumbe ndani umeweka kijimlango chako huna habari yaani... wao wako bize wanakusubiri mwanaume upo zako polisi unachukua JAHAZI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…