Yamenikuta leo Mama G

Asante nimekuelewa
 
Kama kungekua na CCTV camera mule ndani inarekodi ningekua kituko cha dunia!!
Maana nilizunguka kila engo ya store!
Mwishowe nkajichokea na kulala kwenye gunia la pumba hadi asubuhi nilipopata wazo
Hahaaaahaaa!!panya walilala na wewe!
 
Wewe ulikosea ungepiga mikeleeee mpk watu waje![emoji3][emoji3][emoji16][emoji23]
 
Huko daarini kuna vumbi,mixer nyaya za umeme halafu Giza nilivyotua tu koridoni nikaenda oga ndoo kama tatu kubwa
Kesho yake nikaenda kibosho hospital kucheki afya maana nilipata homa na mshtuko
[emoji16] [emoji16] ila ulipata tabu..masaa yote hayo umekaa na panya ..uwiii sijui kama ningeweza
 
Sawa mi napenda wine na whisky zaidi,bia nakunywa tu kwakweli
 
Okay sawaa...ila nyumba zetu za kibongoo haziko hvyo hapa narecall movie nilizoziona almost zote milango yafunguka kwa nje
 
Ahaaa sawa nimekupata mi hata sijui hii ni mbao ipi ,
Ya kupanga bana kujenga ni uoga wa maisha [emoji6]
Hapo huna la kufanya ila ingalikuwa yako ungebadilisha. Muulize Nyani Ngabu akueleze jinsi ilivyo lazima kwa nyumba, huko majuu kwao, mlango kufungikiwa nje baadala ya ndani kwa usalama. Aidha ukiwa na mlango wa nje ukafungukia nje, fatuma (nadhani unaelewa ile wezi wanakuja na jiwe kubwa kubamiza mlango) haiwezekani hadi mlango upasuke vipande. Kwa mlango unaofungukiwa nadani fatuma ni kama ugumu wa mkate kwa chai
 
Huko daarini kuna vumbi,mixer nyaya za umeme halafu Giza nilivyotua tu koridoni nikaenda oga ndoo kama tatu kubwa
Kesho yake nikaenda kibosho hospital kucheki afya maana nilipata homa na mshtuko
Hahahahahaha hukukutana na wadudu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…