Yamenikuta leo, nimekosea kumwita jina mpenzi wangu!

Mambo madogo ayo watu hadi huwa tunakosea mashimo ya kuingiza nyama kavu iliyokakamaa kama mti.

Au nasema uwongo ndugu zangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah,imenitokea juzi Mimi,kawaida nikiwa nakula mzigo naongeaongea maneno kibao kwa utamu,nakumuita jina mwanamke wangu, Sasa juzi nimejichanganya wakati nashusha mzigo sinikaita jina la mchepuko wangu wa nje,

aisee" nilichomolewa kifuani Hadi mashine ilitaka kuteguka jinsi nilivyorushwa mama"e
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…