Dr wa ukweli
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 900
- 271
Ni hivi Dada Lizzy,
Hayo hayakuwepo hapo mwanzo, imagine hata mtoto wangu aliishi nami pamoja na yeye na kuanza shule hapa mjini hadi darasa la 3 lkn mwaka huu mie narudi field ananiambia mtoto nimempeleka kijijini coz jeuri nataka akajifunze tabia huko rural. Nina mdogo wangu wa mwisho namsomesha na yupo day school, hawaongei hata akimwamkia hajibu hapo mimi nipo je nikiondoka inakuwaje mpendwa? Yaani baada ya ndoa tu tabia imebadilika sana, na sasa ndo ameajiriwa akitoka asubuhi kurudi jioni akifika tu kulala kisa amechoka, mie ndo niingie jikoni au huyo mdogo wangu. Da lizzy nipe ushauri plse
Ni hivi Dada Lizzy,
Hayo hayakuwepo hapo mwanzo, imagine hata mtoto wangu aliishi nami pamoja na yeye na kuanza shule hapa mjini hadi darasa la 3 lkn mwaka huu mie narudi field ananiambia mtoto nimempeleka kijijini coz jeuri nataka akajifunze tabia huko rural. Nina mdogo wangu wa mwisho namsomesha na yupo day school, hawaongei hata akimwamkia hajibu hapo mimi nipo je nikiondoka inakuwaje mpendwa? Yaani baada ya ndoa tu tabia imebadilika sana, na sasa ndo ameajiriwa akitoka asubuhi kurudi jioni akifika tu kulala kisa amechoka, mie ndo niingie jikoni au huyo mdogo wangu. Da lizzy nipe ushauri plse
Mkuu umepotea sanaachana nae huyo m/mke najua unaweza ukawa unampenda sana huyo mchumba wako lakini kwa nn aanze kukuonyesha red light mapema kiasi hiki wakati hata bado hakujapambazuka? Nina mfano wa ndg yangu mmoja alikuwa na kesi kama yako na walipoishia ni jamaa kuacha kila kitu kwa mkewe na akaenda kuanza moja, Bora wewe bado hata hamjafunga ndoa huyo ndg yangu yy alikuwa ameoa ila mkewe alikuja kumfukuza mama mkwe wake wakati jamaa yuko safarini.
Suala la mali sio issue kwanza hamjaoana mtagawana vp mali? nani ana ushahidi kuwa mliishi pamoja, timua huyo mapema au kama vp uza hivyo vitu mtimue halafu nunua vipya. Nakushangaa unashindwa kumtimua kwa kuofia mtagawana mali wakati sio mke wako?
Amka huyo si mke nakwambia na kama ukimuoa utapata laana ya ndugu, marafiki, wazazi na wafanyakazi wenzio hicho ni kimeo MUNGU amekuonyesa tu mapema
L.o.l Maty leo utafanya mkoloni wangu anipe notice kwa ajili ya kuchekaKama walivyosema wengine hapo juu kwa nini abadilike ghafla inawezekana nduguzo wanamsimanga ukiwa haupo, cha msingi chunguza ujue chanzo ni nini na ukiona ye ndio mwenye makosa mpe muda ajirekebishe kwanza usikurupuke kumuacha na kama hataki kujirekebisha basi chapa lapa kwani mali kitu gani my dear mali zinatafutwa utapata nyingine pengine zaidi ya hizo.
Kama ukiridhishwa yeye ana makosa halafu hataki kujirekebisha ni pm nikupe mbinu zitakazofanya msigawane mali za uhakika labda kijiko na vigoda tu
Wapendwa wana JF, mie ni mgeni na hii ni post yangu ya kwanza. Naomba msaada wenu wa mawazo ili ni-epuke hii adha ninayoipata.
Ni hivi wapendwa: Nilikuwa na girl friend wangu toka 2007 but tuliishi wote kwa makubaliano bila kufunga ndoa hadi mwaka jana mwezi wa 8, ndipo nikaona ni vema sasa tufunge ndoa. Lakin kilichochelewesha ni kuwa alikuwa anasoma chuo na sasa ni mwalimu wa sekondari.
Kifupi sijakaa naye saana coz 2008 nilenda nje ya nchi na nitarudi kusetle home mwakani, tatizo ni kuwa mke wangu hawapendi ndugu zangu hata mmoja,sisi tupo sita na mimi ni wa pili lkn hawapendi ndugu zangu: sio wifi zake wala shemeji zake. Kuhusu wazazi hapo ndo usiseme, nikienda nje ya nchi haendi kusalimia hadi mie nirudi na hata kuwapigia simu. Wazazi wangu kwangu hawafiki hadi mie niwepo bila hivyo hawafiki.
Nilijaribu kuongea naye mara kadhaa amekuwa mkali sana na hata amediriki kunijibu kuwa hanilazimishi kuishi na yeye. Lakini nahis anajibu kwa jeuri coz anajua tukiachana lazima tugawane mali: kama vile nyumba +usafiri n.k lakini hivyo vyote ni jasho langu la kupiga boxi ugaibuni.
Yeye sijazaa naye hata mtoto 1, lkn mie ninae alimkuta but hampendi na hataki nikae naye, mtoto wangu yupo kwa wazazi wangu kijijini. kwa kweli inaniuma saana. Kuhusu kuzaa yeye yaonyesha hadi afanyiwe operation, & it needs some millions of money hapo labda ndo atashika mimba (kulingana na vipimo vya hosp. moja kubwa ya hapa ya wahindi hapa DSM).
NB: 1. Nifanye nini ili mke wangu ajirekebishe tabia yake?
2. Japokuwa nampenda lkn wazazi wangu nao naona ni muhimu ktk maisha yangu,sasa nifanyeje ili naye awapende kama ninavyowapenda wazazi wake na ndugu zake?
3. Nikisema nimuache atataka tugawane MALI, wakati lile ni jasho langu la kupiga boxi, je nifanye nini?
Wapendwa samahani kwa maelezo marefu lakini naomba ushauri wenu na naomba msinitukane wapendwa, maji yamenifika shingoni. Sina nyumba ndogo na wala sina hamu tena ya kuoa, kweli najuta saaana tena saana kuoa!
Hapo hakuna kitu Mangi,ishi kwa amani.wasiwasi wako ni mali.mimi wa kwangu nimemuachia kila kitu,nilitoka na nguo zangu na vitabu tu.mali utatafuta tu man.
Wapendwa wana JF, mie ni mgeni na hii ni post yangu ya kwanza. Naomba msaada wenu wa mawazo ili ni-epuke hii adha ninayoipata.
Ni hivi wapendwa: Nilikuwa na girl friend wangu toka 2007 but tuliishi wote kwa makubaliano bila kufunga ndoa hadi mwaka jana mwezi wa 8, ndipo nikaona ni vema sasa tufunge ndoa. Lakin kilichochelewesha ni kuwa alikuwa anasoma chuo na sasa ni mwalimu wa sekondari.
Kifupi sijakaa naye saana coz 2008 nilenda nje ya nchi na nitarudi kusetle home mwakani, tatizo ni kuwa mke wangu hawapendi ndugu zangu hata mmoja,sisi tupo sita na mimi ni wa pili lkn hawapendi ndugu zangu: sio wifi zake wala shemeji zake. Kuhusu wazazi hapo ndo usiseme, nikienda nje ya nchi haendi kusalimia hadi mie nirudi na hata kuwapigia simu. Wazazi wangu kwangu hawafiki hadi mie niwepo bila hivyo hawafiki.
Nilijaribu kuongea naye mara kadhaa amekuwa mkali sana na hata amediriki kunijibu kuwa hanilazimishi kuishi na yeye. Lakini nahis anajibu kwa jeuri coz anajua tukiachana lazima tugawane mali: kama vile nyumba +usafiri n.k lakini hivyo vyote ni jasho langu la kupiga boxi ugaibuni.
Yeye sijazaa naye hata mtoto 1, lkn mie ninae alimkuta but hampendi na hataki nikae naye, mtoto wangu yupo kwa wazazi wangu kijijini. kwa kweli inaniuma saana. Kuhusu kuzaa yeye yaonyesha hadi afanyiwe operation, & it needs some millions of money hapo labda ndo atashika mimba (kulingana na vipimo vya hosp. moja kubwa ya hapa ya wahindi hapa DSM).
NB: 1. Nifanye nini ili mke wangu ajirekebishe tabia yake?
2. Japokuwa nampenda lkn wazazi wangu nao naona ni muhimu ktk maisha yangu,sasa nifanyeje ili naye awapende kama ninavyowapenda wazazi wake na ndugu zake?
3. Nikisema nimuache atataka tugawane MALI, wakati lile ni jasho langu la kupiga boxi, je nifanye nini?
Wapendwa samahani kwa maelezo marefu lakini naomba ushauri wenu na naomba msinitukane wapendwa, maji yamenifika shingoni. Sina nyumba ndogo na wala sina hamu tena ya kuoa, kweli najuta saaana tena saana kuoa!
Hapo hakuna kitu Mangi,ishi kwa amani.wasiwasi wako ni mali.mimi wa kwangu nimemuachia kila kitu,nilitoka na nguo zangu na vitabu tu.mali utatafuta tu man.
Sitaki kuwa kwenye hukumu ya kushauri watu kuachana,ila mimi mke kama hawapendi ndugu zangu au wazazi wangu basi hanipendi!
Hey,kwani unadhani una tofauti na ndugu zako?...no,nyie ni damu moja,na hiyo damu haipendi!
Kwanini kuendelea kung'ang'ana nae?
Sasa napata akili kwanini mamangu alinambia nisikimbilie kuoa,...natamani ningekuwa karibu nikupe kalamu uanze kuchana mistari ya talaka fastaaaa!
Unajua ni kiasi gani wazazi wako wanaumia kwa kutokuwa huru kuja kwako lakini eh?
Unafurahia maumivu hayo?
Kama haonekani kupatanishwa achana nae,tupa kule
L.o.l Maty leo utafanya mkoloni wangu anipe notice kwa ajili ya kucheka
Aisee kuna ndugu wana midomo na wanataka maamuzi yote muhimu kati ya wanandoa wahusishwe. Pia kuna wakwe ukiwachekea kutwa wanashinda hapo kwenu ilhali watu ndio kwanza mmeoana mnataka privacy.
Mara nyingi ndugu wa upande wa mume wanachangia sana ndoa za watoto wao kuvunjika. Wanaume tuamke na kukataa kutawaliwa na wazazi wetu hata kama wametuzaa. Familia yako ya zamani (wazazi) na ndoa yako ni vitu viwili tofauti, ukijaribu kuvichanganya una haribu. Haiwezekani mkeo awachukie ndugu zako bila sababu. Huyu bibie lazima hawa ndugu wa mume walisha mletea za kuleta ndo maana kawadelete.