Yamenikuta, mke hashiki mimba

Jabilo..wapi tukapime hapa dar..
 
Hospital ipi hapa dar es salam naweza pata huduma za matibabu ya matatzo haya
 
Muulize mkeo vizuri labda alikuwa anatumia dawa za majira huko nyuma kabla hujamuoa maana kama aliwahi kufanya hivyo wengine huchukua mda mrefu kushika mimba
 
Mkeo ana kazi aisee.. We umejuaje huna tatizo? Umechukua hata gani kusolve hilo tatizo usikute ni wewe una mbegu hazina mkia unamsingizia mkeo
 
mke anakuchora tu, ana mtoto kjjn kwao!
 
badilisha style za kufanya tendo na usifanye kila siku hakikisha unakaa atleast siku saba then unaangalia siku za hatar za mkeo ndo mnafanya
 
mi nadhan ingekuwa jambo njema kwenda hospital wote kwenda kupima kujua tatizo ni nn. sidhani kama kuna ushauri tofauti utakao pewa na members wa kuto kwenda hospital. lakin hiyo miezi mbona michache watu wamekaa zaidi ya miaka 2 kwenye ndoa ndo wakashika mimba.
 
Mr Mwepesi umekimbilio tu mkeo hana matatizo,usiwe mbaguzi,nendeni hospitali,mtapata ushauri wa kitalaamu,tiba na kutatua lililopo!mimba kutungwa ni hatua ndefu,both wewe na mkeo muwe na uwezo wa kuifanya iwepo!unawekuta wewe ndio maanii zako ni hafifu au hazifiki sawa sawa kwenye yai lililo tayari......na mengine meeengi!Naomba muwahi hospitalI kabla haujaanza mnyanyapaa mkeo kuwa hashiki mimba
 
Mkuu pole sana lakini ni vizuri ukawa mvumilivu hadi mwaka uishe(kama wanavoshauri wataalam) ndipo unaweza kwenda hospital na shemeji yetu hospital ambapo watamchek yeye nawe watakufanyia sperm analysis,ni pm kwa maelezo zaid.
 
Pole kwa haraka kama mshale wa sekunde ila ukweli miezi saba hapana

Ni mapema mno
 
Pole ndugu bahati mbaya au nzuri matatizo kama yako mie ninayaishi na haya mambo hayataki shortcut mie miaka 4 nimehangaika atleast sasa naweza kuona napata solution kikubwa lazima muanzie hospital tena na wote na daktari mzuri lazima aanze na mwanaume kwani inasemakana asilimia zaidi ya 50 ya wanaume wa dar es salaam hawana uwezo wa kumpa mwanamke mimba
 
Miezi7 tu??? au nimesoma vibaya ni miaka 7? ni mapema mno hebu tulia, na unajuaje labda ni wewe ndo mwenye tatizo na sio mke wako? au unafikiri wenye matatizo ni wanawake peke yao? na kusema kuwa yamekukuta ni ishara ya kukata tamaa na ukiendelea hivyo ndo hutapata kabsaaa, mana hata ule ufanyaji wako wa tendo la ndo hutawajibika vyema sabab umeshakata tamaa.

Kwanza nendeni kwa dr. mkamuelezee, awaangalie kama mko poa endeleeni na mchezo, na hata kama utaenda moja ya madr. wakwakambia ana tatizo tumsafishe usikubali mke wako kusafisha mpaka ukahakikishe kwa madr. 2 au 3wengine, wakikupa jibu la kwamba mke wako ana tatizo na anahitaji kusafishwa ndo ufanye hivyo sio ukurupuke tu.

ukishatoka kwa dr. na ukakuta hamna tatizo lolote ni PM, kuna maelezo ntakupa Zaidi na nini chakufanya.
 
Wenzio wanapima oil kwanza,tangu lini wakakwambia ndoa inajaribiwa
 
Na isije ikawa unalalamika miezi 7 hamna kitu kumbe hata tarehe za mimba hamzijui lol.
 
Tayari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…