Yamenikuta, mke hashiki mimba

Yamenikuta, mke hashiki mimba

Mkuu pole sana lakini ni vizuri ukawa mvumilivu hadi mwaka uishe(kama wanavoshauri wataalam) ndipo unaweza kwenda hospital na shemeji yetu hospital ambapo watamchek yeye nawe watakufanyia sperm analysis,ni pm kwa maelezo zaid.
Nipo tayr
 
Unawahi wapi, kula raha na mkeo na punguza stress za kutafuta mtoto
Hizo stress ndo zinazokunyima mtoto, piga kazi kwa raha yako mtoto atakuja tu
 
Dist we bado kijana hujui thamn ya mtoto na familia
 
Miezi 7 ni michache so cool down. Mchukue mkeo nendeni wote mkapime. Inawezekana pia hakuna tatio, ni muda tu haujafika.
 
nenda kwenye google play kuna app itakusaida kukueleezanmn ya kupata mtoto nautuletee mrejesho
 
nenda kwenye google play kuna app itakusaida kukueleezanmn ya kupata mtoto nautuletee mrejesho
Kupata mimba kutumia app jamani? App inakuelekeza siku za kupata period, ovulation na mambo kama hayo. Mi nashauri vipimo vya daktari vikihakikisha hakuna tatizo kwa wote wawili , wapate ushauri kitaalamu hapo sasa hiyo app itakuwa muongozo.
 
kwa nini unawaza mke tu kuwa na tatizo,na kwa nini usiwaze labda wewe? Pole ila acha mawazo mgando. nendeni hospitali mkapime nyote. ila pia miezi saba ni kidogo sana kiasi cha kudonononeka. watu wamekaa miaka mitano bila mtoto na hatimae wakazaa
 
Una gubu kama hivyo huyo mke mimba ataipata vipi,
Wampa maradhi ya nafsi binti wa watu kumbe wewe ndio mgumba.
 
Dist we bado kijana hujui thamn ya mtoto na familia
Acha gubu wewe baba, hiyo pia inachangia...... Kutompa mkeo MIMBA
na mtoto ni majaaliwa ya Muimbaji... NINYI ndo mwachangia wanawake Wakafute wanaume Wa nje wapate mimba
 
Nimeoa sasa miezi saba nimekaribia muda wote huo nimejaribu kutafuta mtoto na mke wangu ila hashiki mimba anaingia mwenzini kila mwezi.

Naomba msaada wa haraka je mke wangu anaeza kuwa na maradhi? Na wapi hospitali nzuri anaweza pata matibabu, hakika ninasononeka sana.
Wewe unatakiwa kua mvumilivu acha kupanic kuna wengine hukaa hadi miaka 5 lkn watu wanakua watulivu na kwa mtazamo huu inaonekana wewe lengo lako kuu la kuoa ni kuzaa watoto hayo ni majaliwa ya Mungu tu cha msingi muishi vizuri km wanandoa.
 
mke wako ukute mzimaaaa, wewe ndio mwenye tatizo. usiegemee upande mmoja, sema hatupati mtoto. nenda na mkeo mkapime wote. pole sana Mungu akupe haja ya moyo wako
 
dont loose hope,you gat 12 chances to try........after that then you can seek for the doctors'help
Doctor Kapesa @ MBEZI HEALTH CENTRE is good.
 
Yeye yuko fiti anamtoto wa nje alizaa na dada mwajuma So tumpe ushauri na sio kumnanga jf ni great thinker so mpeni ushauri wenye tija kijana mwenzetu afurahie ndoa yake.
 
Back
Top Bottom