Yamenikuta! Mke mzuri hija mara moja mimi wangu nishampoteza na sijui naishije

Wanaume wa design hii wapo wengi, hawapaswi kuonewa huruma
sure huo ni ujinga uliopitiilza hauna nafuuya kuvumilika.....pia kumuachisha kazi mkeo napo duh anyway ya kazi sio issue,,,sssu matendo yake ya kinjinga ya kumfanyi amkeo,,,NA ALIPATA MKE MWEMA KWA SILIMIA 100
 
STory za kusukumia muda mtu ukiwa huna cha kufanya. Kwenye utunzi bado sana Dogo.
 
Sawa umejifunza baba, tena ana moyo kweli wangekuwa wengine wangekuacha uozee jela maana una roho mbaya.

Wenzio tuna mashetani huku maana si wake, tunajitahidi kuwa vumilia wanatona mabwege alafu ww ulipata ukachezea.

Sawa endelea kuishi na Babu yako majuto
 
Haifanani kuwa imeandikwa na mtu wa darasa la saba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…