Yamenikuta mwanaume nimekutana na mwanamke msagaji akanitenda

Yamenikuta mwanaume nimekutana na mwanamke msagaji akanitenda

Wadau mwenzenu yamenikuta.

Ni mwanaume, nimeingia kwenye uhusiano wa kimapenzi mrembo mmoja. Niliwahi kuambiwa kuwa mrembo huyu ni msagaji sikuamini. Tulipokutana mara ya kwanza alinipa mahaba ya kutosha na sikuamini tena kuwa ni msagaji. Mara ya pili ikawa kawaida pia.

Aliponizoea siku moja akaniambia anataka kunipa mahaba ambayo sijawahi kuyaona hapa duniani, na kwa kuwa ananipenda sana, kwamba sasa atahakikisha kuwa sitakaa nitamani mwanamke mwingine tena. Akaniomba niikabidhi nafsi yangu kwake na nimruhusu awe huru na mwili wangu. Nikamruhusu.

Nilichofanyiwa...... basi tu. Niliinamishwa, nikalazwa, nikabinuliwa, nikalambwalambwa, nikanyonywa, nikachokonolewa, nikakunwa kila mahali. kwa siku mbili hivi. Baadaye akasafiri. Simu yake kwa sasa haipatikani kwa muda. Kweli namtafuta kama alivyoniambia. Nitampata wapi jamani huyu mtaalamu wa mahaba?
alichokonoa hadi 0713? Ina maana yeye ndiye amekuwa kidume sasa.
 
Wale wasagaji wana vifaa maalumu huwa wanatumia kuingiza (artificial) penis, so jamaa anavosema aliinamishwa akachokonolewa huyu ndio basi akionekana Uganda anafungwa jela kwa miaka isiyopungua 10. Pole sheikh hamia Mombasa usipompata huyo jike dume
 
Huna lolote we ni moja ya mashoga mlio jazana kwasasa kitaani, unajipa promo tu, poa jamaaa wesha kusoma subiri pm za kumwaga uka toe huduma baradhuri mkubwa, eti akaniinamisha shame on u.
 
Mi nijuavyo sehaemu za kuchokonolewa zipo kichwani ! yani masikioni , puani , na mdomoni. Ni wachache wenye vitovu vilivyobonyea ambavyo vyaweza chokonoleka! Mh! kama alikubinua halafu akakuchokonoa huyo hakuwa msagaji bali mfiraji, ungemchunguza kidogo huenda alikuwa 'shemale' na akirudi bora usepe !!
 
Ama kweli kuna dhambi nyingine tuzifanyazo binadamu hata Shetani atazikana.Ila haya yote yameletwa na utandawazi.Waafrika kwa kuiga ndo wenyewe.Haya yangu macho!
 
Nakuombea siku moja ubinuliwe nione kama utakuwa shujaa wa kutuambia

Huna lolote we ni moja ya mashoga mlio jazana kwasasa kitaani, unajipa promo tu, poa jamaaa wesha kusoma subiri pm za kumwaga uka toe huduma baradhuri mkubwa, eti akaniinamisha shame on u.
 
atakuwa amepita na kwenye mfereji huko kwa kupitia mikono, du pole sana, kwa kuwa unamtafuta nilimuona kule mtaa wa JF doctor.
 
Hatari sana hii dunia sijui inaelekea wapi tena kwa kasi namna hii?
 
Akiendelea kukufanyia hivyo kwa wiki mbili tu utakuwa demu wake, na akikuacha kabisa utatafuta mwanaume! Trust me.
 
Wadau mwenzenu yamenikuta.

Ni mwanaume, nimeingia kwenye uhusiano wa kimapenzi mrembo mmoja. Niliwahi kuambiwa kuwa mrembo huyu ni msagaji sikuamini. Tulipokutana mara ya kwanza alinipa mahaba ya kutosha na sikuamini tena kuwa ni msagaji. Mara ya pili ikawa kawaida pia.

Aliponizoea siku moja akaniambia anataka kunipa mahaba ambayo sijawahi kuyaona hapa duniani, na kwa kuwa ananipenda sana, kwamba sasa atahakikisha kuwa sitakaa nitamani mwanamke mwingine tena. Akaniomba niikabidhi nafsi yangu kwake na nimruhusu awe huru na mwili wangu. Nikamruhusu.

Nilichofanyiwa...... basi tu. Niliinamishwa, nikalazwa, nikabinuliwa, nikalambwalambwa, nikanyonywa, nikachokonolewa, nikakunwa kila mahali. kwa siku mbili hivi. Baadaye akasafiri. Simu yake kwa sasa haipatikani kwa muda. Kweli namtafuta kama alivyoniambia. Nitampata wapi jamani huyu mtaalamu wa mahaba?

daaah! I see! Mkuu samahani, ushawai kutembelea ama kuishi maeneo yoyote ya Pwani mf: Dsm, Tanga, Mombasa, Bagamoyo, Zanzibar na mengineyo?

Mkuu nimeshtuka kidogo!
 
Back
Top Bottom