Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
soma vizuri post yake anasema AKACHOKONOLEWAUlipobinuliwa na kuinamishwa hakuna kilichoingia ndani ya mwili wako!
Huyo ni mwanamke kwa kila kitu kuanzia asubuhi mpaka jioni isipokuwa jinsia tu..hapa anatafuta wachokonoaji tu Si ajabu wachokonoaji washa wahi PM kitaambo sie tunapiga domo hukuUlichokonolewa mweh....
kakuandalia mazingira mazuri ya kuchokonolewa zaidi
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Ndiyo maana wadada ni wengi duniani...
Kwahiyo umepigwa vidole tayariKidole na ulimi.
"gademu iti''Wadau mwenzenu yamenikuta.
Ni mwanaume, nimeingia kwenye uhusiano wa kimapenzi mrembo mmoja. Niliwahi kuambiwa kuwa mrembo huyu ni msagaji sikuamini. Tulipokutana mara ya kwanza alinipa mahaba ya kutosha na sikuamini tena kuwa ni msagaji. Mara ya pili ikawa kawaida pia.
Aliponizoea siku moja akaniambia anataka kunipa mahaba ambayo sijawahi kuyaona hapa duniani, na kwa kuwa ananipenda sana, kwamba sasa atahakikisha kuwa sitakaa nitamani mwanamke mwingine tena. Akaniomba niikabidhi nafsi yangu kwake na nimruhusu awe huru na mwili wangu. Nikamruhusu.
Nilichofanyiwa...... basi tu. Niliinamishwa, nikalazwa, nikabinuliwa, nikalambwalambwa, nikanyonywa, nikachokonolewa, nikakunwa kila mahali. kwa siku mbili hivi. Baadaye akasafiri. Simu yake kwa sasa haipatikani kwa muda. Kweli namtafuta kama alivyoniambia. Nitampata wapi jamani huyu mtaalamu wa mahaba?