Yamenikuta mwenzenu

Pole lakini nadhani unampa sana mda wakukaa huyo jamaa kwenye kichwa chako ulitakiwa ujue mwanzo na uwe na Kidumu,lakini bora alivykwambia sasa kuliko angekwambua mda umeshakwisha,tuliza akili usikurupuke kwenye mahusiano mengine kwanz vuta muda na kumbuka kila likuepukalo lina kheir na wewe...
 
J kiria keshawaambia chukua chako mapema hata akija kuzingua ukikumbuka ela alizokupa machungu yanapungua, wee endelea kutoa free p eti unafagilia ndoa
 
kunani tena mbona ujafafanua sasa tatizo nini malyakishu
duh pole mwaya, nafasi hii tungepataga na sisi wengine tuliotendwa labda we could have made a perfect matching, haya mapenzi haya we acha tu,
 
Ww endelea kuugulia maumivu tuuu sasa ulitaka iweje inaonekana unanyota ya kuachwa
 
Easily said than done! 😁
 
Pole sana. Tupe mrejesho ilikuwaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…