Ngoma nzito...hiyo story yako inaendelea kunihakikishia kuwa nyie wanawake wa siku izi suala la kuolewa mnalipa priority sana? Hivi huwezi kuwa na jamaa kwa ajili ya kula maisha tu mpaka uolewe? Unajua stress nyingine mi naona mnajitafutia wenyewe. Hivi unategemea kuna siku utapata mwanaume wa peke yako kwamba asiwe anamega nje? au asiwe na msururu wa mademu? Wewe kama unamuona jamaa kicheche kula kona, mbona njemba za kukupa starehe ziko kibao? tena unakuwa huru ukiona anakuletea uzushi simple unachimba kuliko kupenda kuolewa olewa kiasi kwamba mkiparangana mnaanza vikao na mambo mengine ya kupotezeana muda...Why?? Kwa niniiiiiii?? Utatafuta wa peke yako hutapata hata siku moja utaishia kufanyia maonyesho tu hiyo naniii kwa kila mtu mwisho unaonekana punch bag!!!