Yamenikuta... Sielewi nifanyeje

Inaelekea mkuu unamega sana nje!We ni kiwembe sio?Wanaume wote hatupo kama ulivyoreflect hapo juu.
 
Wewe kula chakula bwana acha habari zako
Pili acha usiende kwa huyo binti anayetaka kukupa list ya wanawake waliodili na bwanako
Tatu ni juu yako kuamua kunyoa au kusuka, sio poa sisi tuanze kukuambia achana naye au kaa nae au vumilia, tamu na chungu unaijua wewe mami
Goodmorning
 
pole saana kwa kwa yaliyo kukuta, kwanini usimuombe mungu kama ni mume akupatie mume wa aina yako? mungu ni muweza amini hivyo kwa msaada zaidi nitafute
 
Wewe Doreen kulakona tuu masela wako kibao mitaani wanatafuta mademu wa kuoa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…