Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Naomba nikupende au haupo KijijiniKwani watakuelewa basi...
Hadi mtu apigwe na kitu kizito ndo akili inakaa sawa, akirudi normal anaendelea kama kawa.
Na wewe ni suala la muda tu utarudia kuokotaokota
😳😳Ukimaliza fumanizi njoo nikuliwaze🥴🥴🥴
Duh! Tuna safari ndefu sana. Kwa hiyo wewe hutasomesha watoto wako wa kike ili waje kuwa wake bora kwa waume zao?Mtoto wa kike akipewa elimu akapata na kazi, huyo hafai kuwa mke wa mtu.
Inategemea mwanamke mwenyewe uwezo wake wa kujitambua na kujiheshimu ni wa kiwango gani.Yuko sahihi, anamaanisha mwanamke ambaye kaondoka kwao na kaanza maisha ya kujitegemea kwasabb yoyote ile, huwa anakuwa ameutumia vema uhuru wa kuziona suruali za kila aina na mikongojo yao.
Halafu unakuta mpk mtaro ushafukuliwa. Hawafai.
Sitamuandaa mtoto wangu kuwa mke bora huu ni upuuzi, bali nitaamuandaa kuwa na maisha bora.Duh! Tuna safari ndefu sana. Kwa hiyo wewe hutasomesha watoto wako wa kike ili waje kuwa wake bora kwa waume zao?
Kule juu umesema mwanamke akipata elimu na kazi hafai kuwa mke wa mtu haya tutoke huko tuje kwa huyu binti yako unaemuandaa kuja kuwa na maisha bora je unaweza kunieleza ni kwa namna ipi utamuandaa kuja kuwa na maisha bora bila elimu wala kazi?Sitamuandaa mtoto wangu kuwa mke bora huu ni upuuzi, bali nitaamuandaa kuwa na maisha bora.
Hoja yangu hapa ni kwamba binti yangu nitampa elimu nzuri ili awe namaisha bora. Ili binti kuwa na maisha bora haihitaji mume, bali anahitaji elimu.je unaweza kunieleza ni kwa namna ipi utamuandaa kuja kuwa na maisha bora bila elimu wala kazi?