Yamenikutaaa ndugu zangu

Mcha-mungu+mcha-ga

Mcha Mungu gani anavunja amri ya sita tangu mwaka 2007 na wala hajaolewa? acha kumjoke Sir God bana!

bek to ze main point: naungana na wadau wawili hapo juu, wivu hauna neno "tuachane"! hapo inatafutwa sababu ya kuachana tu na wewe ubebeshwe zigo la lawama. Amka jibaba! karne ya 21 hii
 
Jamani nyie wivu mnaujua au mnausikia tu mpaka mnamwambia hapendwi sijui nini na nini..mkaka penda unapopendwa na hakuna mapenzi yasiyo na wivu,hilo neno ni matokeo ya hasira jamani kila mtu na hasira zake!
 
Hivi kipindi chote cha miezi 8 ulipomnyima unyumba ulidhani umemkomoa?
 
Mara nyngi mtu anapotamka k2 huwa anamaanisha hvyo sion sababu ya ww kuendelea nae hvyo mpotezee kwa kuw ameshasema muachane!
 
Sikumnyima alininyima yeye tena now analalamika kwa kila rafiki angu kwamba natesa
 
Wivu na hasira ni vitu vya kawaida sana ktk mapenzi, so sio kila anachokiongea anakuwa anakimaanisha thats why anadare kusachi sms na kuwapigia simu hao wasichana wengine anaohisi unatoka nao!

Usimchoke we ongea nae taratibu na umweleze the way unavyojisikia kuhusu hiyo tabia yake, natumaini atakusikia pia na yeye anaweza akakwambia pengine kuna vitu tofauti vinavyomuifluence awe hivyo!
 
Kama kumwambia nimemwambia mara nyingi she even dare to say she will never trust me until her death
 
Huyo dada ananipenda kufa wivu umemzidi mkuu mpaka inakera sana

Inamaana miaka yote hiyo ulokuwa nae, huo wivu ndo umekuja kuuona leo? Au ushatosheka na mashuti uloyapiga? Shauri yako utajikuta unaruka maji alaf unakanyaga tope!
 
She is like that for long time nimejaribu kila njia hakuna kitu
 
Ni bora ukavunja uchumba,kuliko kuja kuvunga ndoa
 
hakukua na vigezo bali alijua akiendelea ntatoka nje coz nlikuja mwambia sitamuomba tena na asijenilaumu
 
Ndoa ni kitu ambacho ukiamua kumuoa mtu hakuna kujiuliza, inatakiwa itoke moyoni, kama umeenza kujiuliza jua kabisa hamtafika mbali
 
Ndoa ni kitu ambacho ukiamua kumuoa mtu hakuna kujiuliza, inatakiwa itoke moyoni, kama umeenza kujiuliza jua kabisa hamtafika mbali

YES!
Umeeleza vyema. Siku zote mawazo hutoa Neno then inafuatiwa na kitendo. Hamna Ndoa hapo Bro! Chapa mwendo kasalule kwingine labda utabahatika. Kigugumizi chako kuhusu kumpiga chini ni kwamba unatumia kichwa kufanya maamuzi ya moyo. Siku zote Mapenzi hujengwa moyoni na moyo huwa unahifadhi mazuri tu.

Sasa kichwa kinaona mabaya na kinajaribu kufanya maamuzi dhidi ya moyo ndio maana una suasua. Inshort ulimpenda kwa dhati kitambo na Moyo ukaridhia. Ni vitu vya kawaida kutokewa na hali kama hiyo, Piga chini japo roho itakuuma lakini utazoea na itaacha kukuuma!
.
 
wewe mwenyewe inaonekana ushakata tamaa kwanza hunafuraha/kumchoka kwa hiyo swala la ndoa halipo.....kila mmmoja achukue 50 zake
 
mkuu unadai umenyimwa unyumba kwani una haki ya huo unyumba? kwani mkeo huyo? wote mlikuwa mnavunja amri ya sita afu unasema kakunyima? ok sio main point. cha muhimu elewa akupendae kwa dhati hatapenda kukuudhi, nilivokusoma huyu dada sii wako tena ana mwingine na kwake haogopi mkiachana kwani ana pa kukukimbilia, wanawake wanatafuta wa kuwaoa hawapati huyu anakuambia tuachane bado hujamwelewa tu?

From today hebu usipokee simu yake,ikiwezekana blockh her kwa simu yako,usimjibu sms wala email wala kumpigia afu utaona matokeo yake kama hatakuja on her kneels kuomba msamaha, kama ndio MUNGU alokupa basi atajutia vitendo vyake,tatizo mayb ww unambembeleza.shauri yako ndoa ujue ngumu kama ukija kuoa kimeo.
 
kuwa patient huyo dada anahitaji msaada zaidi kuliko wewe....inaelekea alishawahi kuwa kny mahusiano na akawa cheated na mpenzi wake ndio maana yuko soo insecure na wanaume,mpaka hapo atakapoweza kusahau yaliyopita ndio ataweza kumove on na wewe ni kiasi cha kuwa patient tu................. unachotakiwa kufanya ni kuhakikisha unafanya yale mambo yanayomhakikishia umemchagua yeye na unamjali hisia zake......usikae kimya bila kuongea naye,kuzima simu au kumuonyesha hauna future naye...slowly aterebuild trust kwako...kila la kheri......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…