Yametimia: BASATA yaupiga pingu wimbo wa ROSTAM(Roma na Stamina) unaoitwa Parapanda

Status
Not open for further replies.

Livejr

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2014
Posts
2,070
Reaction score
2,794
BASATA tafadhalini tuachie tuburudike na hili goma, jamaa wameng'ata na kupuliza ndani yake
 

Attachments

  • Screenshot_20180806-145639.jpg
    50.8 KB · Views: 73
Wape mda bado haijajulikana kama wameitwa kuhusu huo wimbo au kuhusu kupewa gawio.
 
Hivi BASAT hawan Projects kama vile Workshops za kutoa Elimu kwa wasanii etc? wanasubiri Nyimbo tu zikitoka ndo wafanye majadiliano au kufungia? Tunaomba mwenye katiba ya BASAT aiweke hapa tujue Majukumu yao.
 
Mwenye nao tunaomba atuwekee tafadhali wengine hatuujui ,tunaomba sana ..
 
bahai nzuri tunao tele, asante roma, ubarikiwe
 
Haaaa hii kali,hadi wafu wanaogopwa. Wanaweweseka,hawana amani,wanapata nightmares
 
Kufanya kazi kwa woga ni kudumaza uwezo wa kufikiri. Hivi anayefanyaga haya maamuzi ni wao basata kama bodi au jamaa tu linaamka alafu haliipendi biti labda linasema fungia huu wimbo?
Wimbo wa kawaida sana huu kuufungia. Labda mnifahamiashe yawezekana kuna maneno sijayasikia, una kasoro gani?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…