Freightliner JF-Expert Member Joined Aug 22, 2013 Posts 720 Reaction score 527 Aug 7, 2018 #81 basata iwe inatunga nyimbo na kuwapa wasanii waimbe hii itasaidia sana
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 29,028 Reaction score 69,666 Aug 7, 2018 #82 hv inakuaje basata kufungia nyimbo hlf tamko toka majuu(rais) inasema wimbo ni mzuri na uachiliwe ?
Lord Diplock MR JF-Expert Member Joined Mar 16, 2015 Posts 1,393 Reaction score 3,237 Aug 7, 2018 #83 Wimbo huu ni mzuri balaa
Jackal JF-Expert Member Joined Apr 10, 2012 Posts 9,971 Reaction score 13,608 Aug 7, 2018 #84 Mwanga Lutila said: Kutaja UKAWA na Lowasa hili ndilo kosa lao. Only in Tanzania. Click to expand... Mange Kimambi ndio imeharibu!
Mwanga Lutila said: Kutaja UKAWA na Lowasa hili ndilo kosa lao. Only in Tanzania. Click to expand... Mange Kimambi ndio imeharibu!
Papupi JF-Expert Member Joined Feb 3, 2014 Posts 2,028 Reaction score 3,241 Aug 7, 2018 #85 Kuna line inasema “kwani wanaosimamia sanaa ni nani? Kuna baraza lakini wasanii wanaishi uwani” nadhani wamewaita kujadiliana na kuona kama kuna nafasi ya wasanii kuishi sebuleni
Kuna line inasema “kwani wanaosimamia sanaa ni nani? Kuna baraza lakini wasanii wanaishi uwani” nadhani wamewaita kujadiliana na kuona kama kuna nafasi ya wasanii kuishi sebuleni
shahid365 JF-Expert Member Joined Jul 29, 2018 Posts 518 Reaction score 420 Aug 9, 2018 #86 Balaa la Sanaa la Taifa(BASATA)
kichomiz JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 19,257 Reaction score 12,244 Aug 9, 2018 #87 Ngoma iko hewani nimeisikia leo redioni
Nichumu Nibebike JF-Expert Member Joined Aug 28, 2016 Posts 8,658 Reaction score 15,793 Aug 9, 2018 #88 BASATA waanze kutunga mashairi na kuyagawa bure kwa wasanii. Yani wasanii wawe kama wamekariri ngonjera. Wale mlosoma Sunday school mnaelewa.
BASATA waanze kutunga mashairi na kuyagawa bure kwa wasanii. Yani wasanii wawe kama wamekariri ngonjera. Wale mlosoma Sunday school mnaelewa.