Yametimia: Shilole kiuno ''Shishi Baby'' ampa kibuti Nuhu Mziwanda

Hee...si nilisikia dogo akilalama ameshindiliwa mangumi mazito kama ya Mywether na kung'atwa ng'atwa mwili mzima?dogo anaacha kutafuta pesa anategemea kufugwa...anadhani huyo shishi anatoa wapi pesa bila kugegedwa

Kwa akili za shilole wala usishangae mana ukistaajabu ya Dida wa ezden itakua ya huyu ndumi la kuwili..japo nililamba mzigo lakini kichwani kamasi tupu..anapenda kwl ma hb wadogo dogo japo nina umbo kubwa kimtindo! Washkuru mungu kuna camera360 otherwise Dida, Diva, Shilole, Sintah wangesha kimbia Insta..mana sintah ile mitungi ya gesi pale kifuani imesha legea kila akii boost wapi..ngoma ina yeya! Chezea menopause ww!
 
Heheheiiyaaaaa wapi wadada wa mujini mnaokomeshwa na mikorogo,wapenda serengeti boys a.k.a Haki elimu?hahahahaa kwikwikwikwi maneno kuntu.
 
Kwanini asimpende wakati anamsugua vizuri kwenye kile kitundu kidogo
 
Lile penzi lililopata ‘promo’ ya kutosha ndani ya muda mfupi kati ya mwanamuziki Zuwena Mohammed ‘Shilole’ na Nuh Mziwanda limeingia shubiri baada ya juzikati wawili hao kuzichapa. Kisa cha wawili hao kuzibuana kinadaiwa ni baada ya Nuh kukuta sms tata ya mwanaume kwenye simu ya Shilole ambapo inadaiwa baada ya jamaa huyo kumtaka mchumba wake huyo ampigie aliyetuma meseji hiyo kukawa na kusuasua.

Mwanamuziki Zuwena Mohammed ‘Shilole’.
Chanzo chetu cha habari kilichoomba jina lake lisichorwe gazetini kilitiririka: “Shilole na mchumba’ke walikuwa chumbani, mara ikaingia sms kwenye simu ya Shilole.
“Nuh alipoiona alimlazimisha Shilole ampigie jamaa aliyetuma sms na aweke ‘loud speaker’, Shilole alipoipiga ile namba, akajichanganya kidogo licha ya kuwa, jamaa alikuwa anamjua na wala hakuwa mpenzi wake ila ni washikaji tu.
Mwanamuziki na mpenzi wa Shilole, Nuh Mziwanda akipozi.
“Kuona vile si Nuh akaanza kumpiga na hapo ndipo timbwili lilipotokea. Wote waliumia ila Nuh ndiye aliyeumia zaidi, ilikuwa ni vurugu kweli, baada ya ugomvi Nuh akaondoka na mfuko kama wa rambo hivi akiwa na vitu vyake kana kwamba katimuliwa,” kilidai chanzo hicho.Baada ya kuzipata nyeti hizo, Ijumaa lilimtafuta Nuh na alipopatikana alikiri kutokea kwa ugomvi lakini hakuwa tayari kuuzungumzia kwa kirefu.
Shilole alipopatika alisema: “Ni kweli tukio lilitokea. Ni hivi, aliyenitumia ile meseji ni mdau wangu, aliniambia kuwa yuko Dar tutafutane na wala si kwa mambo ya mapenzi lakini nikashangaa Nuh analazimisha nimpigie.
“Ile napiga naongea naye, si akanipiga kofi, hapo vurugu ikatokea. Kimsingi sikutarajia, ni kweli nampenda lakini mimi nadhani bora kila mmoja achukue hamsini zake.“Nilimheshimu sana, wamekuwa wakinitongoza wanaume wengi lakini nikawa nawakatalia kwa kuwa nampenda lakini leo anakuja kunipiga kwa mtu ambaye wala sina mpango naye. Amenikasirisha sana, acha aende zake, unajua mapenzi hayaendi hivyo,” alisema Shilole.
Hata hivyo, taarifa zilizopatikana baadaye zilieleza kuwa, baada ya ugomvi huo Nuh alichukua kila kilichokuwa chake na kuondoka kwenye nyumba aliyokuwa akiishi na Shilole kwani alikuwa ni kama kahifadhiwa
 
Ni wiki kadhaa watu walijadili uhusiano wa hawa vijana,baada ya yule dogo wa dida kulialia kwenye video
 
Ile tattoo aliyojichora mkononi kaiacha kwa Shilole au kaondoka nayo?
 
ninayemwonea huruma ni huyo mtoto wa shilole alivyo na maza wa ajabu... ningekuwa mimi ningeenda kubadilishana na malapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…