Yametimia, Uganda yazidiwa na madeni

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Serikali ya uganda imelazimika kuzipunguza idara zake za serikali ili iweze kupunguza matumizi ili ilipe madeni yake baada ya wadai wake uibana vilivyo
 
Tunakopa kupita kiasi huku vyanzo vyetu vya mapato vikiwa ni vile vile!! Na sisi tutafika huko kabla hata miaka 3 ijayo haijaisha.
Huko nadhani ni mbali sana
 
Leo nimemsikia Naibu waziri wa Fedha akisema wapo makini sana katika kukopa kwa hiyo tusiwe na wasi wasi
 
Si huwa wanasema hivyo halaf yakija tokea waanze kusema mabepari wametuibia.

Ningeoenda kuishauro serikali iwe makini na hii mikopo. Kama wanakopa kwa pupa ili kufurahisha wachache basi wajue wataiingiza nchi pabaya..
 
Si huwa wanasema hivyo halaf yakija tokea waanze kusema mabepari wametuibia.

Ningeoenda kuishauro serikali iwe makini na hii mikopo. Kama wanakopa kwa pupa ili kufurahisha wachache basi wajue wataiingiza nchi pabaya..
Hiyo ndiyo jambo la msingi maana ukimuona mwenzako ananyolewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…