Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maelezo hayajitoshelezi elezea chanzo cha habari au wewe ni mpiga ramli chonganishi?Umeelewa ndio maana umechangia
Wamchukue M7 wakae naye hadi atakapolipa senti ya mwisho.Dawa ya deni ni kulipa na wadai lazima wachukue kilicho chao
dogo ulizingatia ushauri wangu wa kufanya kazi?Dawa ya deni kulipa. Wauze ng'ombe walipe.
kuna mtu kesha changanya ID hapo kudadekdogo ulizingatia ushauri wangu wa kufanya kazi?
Ama bado unaendelea kuning'iniza mapoumbou kwenye sofa kwa shemej yako?
Kamoon fanya kazi
Mkuu pole hii reply ilibidi imwendee Mbao za Mawe pole sana mkuuNina mashamba ya kukulisha wewe na ukoo wenu wote hata chakula kingine kuwalisha vichaaa
Usijali kiongozi tena asante sana kwa kuhangaika naye huyo mtu maana naona ni kati ya wale alio omba ndugai waisaidie ccm mitandaoniMkuu pole hii reply ilibidi imwendee Mbao za Mawe pole sana mkuu
Mbona unamjibia Mbao za Mawe ?Nina mashamba ya kukulisha wewe na ukoo wenu wote hata chakula kingine kuwalisha vichaaa