Yametimia, Uganda yazidiwa na madeni

Yametimia, Uganda yazidiwa na madeni

Uganda kwishne. Uganda haifiki December mtasikia kitu. Wacha waendelee kuuwa watu wake wenye akili na kuwaachia mazuzu kuendesha nchi
 
Uganda kwishne. Uganda haifiki December mtasikia kitu. Wacha waendelee kuuwa watu wake wenye akili na kuwaachia mazuzu kuendesha nchi
Lkn ndiyo majirani zetu wakubwa hao
 
Ongeza nyama kidogo sio unaandika sentensi moja hapa.
 
Maelezo hayajitoshelezi elezea chanzo cha habari au wewe ni mpiga ramli chonganishi?
Ungekuwa unasoma kilichoandikwa usingepost huu ushuzi wako
 
Maelezo hayajitoshelezi elezea chanzo cha habari au wewe ni mpiga ramli chonganishi?
Dawa ya deni ni kulipa na wadai lazima wachukue kilicho chao
 
dogo ulizingatia ushauri wangu wa kufanya kazi?
Ama bado unaendelea kuning'iniza mapoumbou kwenye sofa kwa shemej yako?

Kamoon fanya kazi
Nina mashamba ya kukulisha wewe na ukoo wenu wote hata chakula kingine kuwalisha vichaaa
 
dogo ulizingatia ushauri wangu wa kufanya kazi?
Ama bado unaendelea kuning'iniza mapoumbou kwenye sofa kwa shemej yako?

Kamoon fanya kazi
kuna mtu kesha changanya ID hapo kudadek
😀
IMG_20180913_111042_233.JPG
IMG_20180913_111026_042.JPG
 

Attachments

  • IMG_20180913_111042_233.JPG
    IMG_20180913_111042_233.JPG
    93.9 KB · Views: 44
  • IMG_20180913_111026_042.JPG
    IMG_20180913_111026_042.JPG
    96 KB · Views: 44
Ukweli ni kwamba serikali nyingi zinazidiwa hela na watu kama wakina kakobe kwa hiyo hawawezi kuwa na chaguo jingine zaidi ya kukopa
 
Ukweli ni kwamba serikali nyingi zinazidiwa hela na watu kama wakina kakobe kwa hiyo hawawezi kuwa na chaguo jingine zaidi ya kukopa
Mwisho wake ndiyo kama hivyo kubana matumizi kwa kulazimishwa vinginevyo watafanywa kama zambia
 
Bahati nzuri Uganda hawana rasilimali nyingi kama Tanzania ndio maana hata wazungu hawana shobo nako sana!!!
 
Bahati nzuri Uganda hawana rasilimali nyingi kama Tanzania ndio maana hata wazungu hawana shobo nako sana!!!
Kwani Tanzania kuna rasilimali nyingi sana?
 
Back
Top Bottom