Yamkini hali si shwari Pemba, Askofu asema nyumba zapigwa 'X'

Yamkini hali si shwari Pemba, Askofu asema nyumba zapigwa 'X'

Viongozi wa dini Unguja, Pemba wamelaani tukio lilitokea Septemba 22 ktk msikiti mmoja huko Pemba ambapo watu watatu walishambuliwa kwa panga

Viongozi wa dini kutoka Zanzibar wako mubashara wakitoa tamko la amani wakati wa kampeni na uchaguzi, katika jambo alilozingumzia baba askofu amesema nyumba kadhaa zimechorwa 'X' na huku wakiwa hawajui inamaanisha nini, kama wanatafutwa na hao wahalifu au watafanyiwa nini. Hii ni siku moja baada ya jana alfajiri watu kupigwa mapanga.

Baba Paroko kasema wao kama wakuu wa dini watawaombea wanaodhani wanaweza kufanya lolote wanalotaka kinyume cha matakwa ya Mungu.

Pia, soma=> Pemba: Vyama sita vya siasa vyalaani vurugu za Alfajiri ya leo, waomba msaada wa IGP baada ya wananchi kukatwa mapanga
NI wangapi wa chedema ametendwa hawaja kamatwa yeyote hadi leo, huyu IGP ajitathmini
 
Sasa CCM inahusikaje ? Kwa nini hautaji vyama kama ACT na Chadema kutokana na kauli za wagombea wao au viongozi wao ?
Kwa sababu CCM ndio wanajulikana kwa kuratibu fujo na kueneza chuki na ubaguzi.
 
Sasa CCM inahusikaje ? Kwa nini hautaji vyama kama ACT na Chadema kutokana na kauli za wagombea wao au viongozi wao ?
Unaishi Tanzania?Hujasikia makada wa CCM wanampiga nawe Lissu kwenye misafara yake?Hujasikia huko Zanzibar wagombea wote wa ubunge wa ACT wameenguliwa?Hujasikia vijana wa CCM wanavamia ofisi za Chadema na kuchana mabango ya chadema na kubandika ya CCM?Hukusikia huko Lindi wagombea wa ACT kutekwa na kupigwa mapanga?Hujasikia majimboni huko CCM inalazimisha wagombea wake kupita bila kupingwa?


Unaishi Tanzania hii hii?!
 
Back
Top Bottom