tamimusalim
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 1,822
- 498
atalimalizaje wakati yeye sasa ndio mwenyekiti wa serikali iyo ya mtaaNilidhani tatizo hilo linamalizwa na watendaji tu... maana liko under local governance
Nilidhani tatizo hilo linamalizwa na watendaji tu... maana liko under local governance
atalimalizaje wakati yeye sasa ndio mwenyekiti wa serikali iyo ya mtaa
Unaweza kuta aaid dela na yamoto wanakunywa chai ikulu kila wiki na mshkaji wao. Sasa local gov ina nguvu tena hapo?
acha hizo wewe, wanakunywa chai kila siku?? mbona hata Ray C na liyumba walikunywa chai ikulu, wako wapi sasa
tusiwape mibichwa wale madogo
if we want them to stop, it can be done... wananchi wana mfumo wa kuwafanya waseme hapana
Napenda kumwambia kamanda Kova na kikosi chake,kumwambia mmiliki wa yamoto band "mkubwa na wanawe" Said Fela kufunga vifaa maalum vya kuzuia sauti au kutafuta sehemu nyingine ya kufanyia mazoezi ya bendi yake iyo, sababu pale anapofanyia mazoezi hayo ni katikati ya mtaa hivyo kusababisha usumbufu wa makelele pia inawaathiri watoto wetu kutokwenda shule kwenda kutazama mazoezi ya bendi yake iyo, tulijaribu kumwambia na barua kumtumia nadhani amekaidi hilo, hivyo Kova saidia hili mikelele imezidi watu hatulaliii!!mweeeeee
Ila jamani tuongee ukweli,hawa madogo wana vipaji! Kinachotakiwa wawe chini ya uangalizi wa wazazi na jamii wasije jiingiza kwenye tabia mbaya, vinginevyo wanaweza iletea heshima nchi yetu kama diamond ...Napenda kumwambia kamanda Kova na kikosi chake,kumwambia mmiliki wa yamoto band "mkubwa na wanawe" Said Fela kufunga vifaa maalum vya kuzuia sauti au kutafuta sehemu nyingine ya kufanyia mazoezi ya bendi yake iyo, sababu pale anapofanyia mazoezi hayo ni katikati ya mtaa hivyo kusababisha usumbufu wa makelele pia inawaathiri watoto wetu kutokwenda shule kwenda kutazama mazoezi ya bendi yake iyo, tulijaribu kumwambia na barua kumtumia nadhani amekaidi hilo, hivyo Kova saidia hili mikelele imezidi watu hatulaliii!!mweeeeee
Napenda kumwambia kamanda Kova na kikosi chake,kumwambia mmiliki wa yamoto band "mkubwa na wanawe" Said Fela kufunga vifaa maalum vya kuzuia sauti au kutafuta sehemu nyingine ya kufanyia mazoezi ya bendi yake iyo, sababu pale anapofanyia mazoezi hayo ni katikati ya mtaa hivyo kusababisha usumbufu wa makelele pia inawaathiri watoto wetu kutokwenda shule kwenda kutazama mazoezi ya bendi yake iyo, tulijaribu kumwambia na barua kumtumia nadhani amekaidi hilo, hivyo Kova saidia hili mikelele imezidi watu hatulaliii!!mweeeeee
Basi nijuavyo watoto hayo maeneo hawaendi shule, kisa na wao wanataka kuwa Kama yamoto band...kazi kwelikweli