tamimusalim
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 1,822
- 498
Napenda kumwambia kamanda Kova na kikosi chake, kumwambia mmiliki wa Yamoto band "Mkubwa na wanawe" Said Fela kufunga vifaa maalum vya kuzuia sauti au kutafuta sehemu nyingine ya kufanyia mazoezi ya bendi yake hiyo.
Sababu pale anapofanyia mazoezi hayo ni katikati ya mtaa, hivyo kusababisha usumbufu wa makelele, pia inawaathiri watoto wetu kutokwenda shule kwenda kutazama mazoezi ya bendi yake iyo. Tulijaribu kumwambia na barua kumtumia, nadhani amekaidi hilo, hivyo Kova saidia hili mikelele imezidi watu hatulaliii! Mweee!
Sababu pale anapofanyia mazoezi hayo ni katikati ya mtaa, hivyo kusababisha usumbufu wa makelele, pia inawaathiri watoto wetu kutokwenda shule kwenda kutazama mazoezi ya bendi yake iyo. Tulijaribu kumwambia na barua kumtumia, nadhani amekaidi hilo, hivyo Kova saidia hili mikelele imezidi watu hatulaliii! Mweee!