sinza pazuri JF-Expert Member Joined Aug 16, 2014 Posts 3,344 Reaction score 9,066 Feb 26, 2018 #21 Mkaruka said: Huyo Mbosso hakuna kitu, promo na nguvu nyingi lakini hakuna kitu ! - Wajuvi Yamoto Band ni Beka na Aslay tu ! Click to expand... mbosso fundi mno alafu sio bubble gum kama aslay nadhani ni swala la muda mambo mengine yanaitaji muda ziadi kuyaelewa...mimi mwanzo sikuwa namuelewa kabisa lavalava ila amenipruv wrong
Mkaruka said: Huyo Mbosso hakuna kitu, promo na nguvu nyingi lakini hakuna kitu ! - Wajuvi Yamoto Band ni Beka na Aslay tu ! Click to expand... mbosso fundi mno alafu sio bubble gum kama aslay nadhani ni swala la muda mambo mengine yanaitaji muda ziadi kuyaelewa...mimi mwanzo sikuwa namuelewa kabisa lavalava ila amenipruv wrong
Gilbert A Massawe JF-Expert Member Joined May 14, 2015 Posts 5,010 Reaction score 4,083 Feb 28, 2018 #22 Beka na Aslay ndio walikua wanaibeba Yamoto
kwenzi JF-Expert Member Joined Aug 25, 2016 Posts 669 Reaction score 666 Feb 28, 2018 #23 Mboso fundi sikiliza nitazoea