Yamoto ipo wapi??

Ya moto wapo Kenya coke studio, walitoa ngoma mpya ya mijudo ni kalii sana ila fela anasema mambo ya Fiesta ikaimeza ngoma..
 
Hawajajifunza kutoka kwa kaka zao akina Nature na TMK Wanaume Halisi yao?
Hivi hawa watoto wana fan base ya kumfikia Nature?
Mbona alipotea mazima hadi leo?
Shauri zao.
 
Boss wao kaanzisha TMk taarabu , naona Yamoto ndo imekufa
 
Yule jamaa Dimond kishaiba nyota yao hapo...

Toka atokee kwenye video yao ya Cheza kwa madoido ndio imekula kwao moja kwa moja sasa hivi yupo busy kuiba nyota ya Rich Mavoko
 
we huujui mziki wa bongo tulisema haya kwa dogo janja ila sasa hivi hashikiki just good management will solve all this
Good management won't solve everything because it's not the [a] panacea.

They did also over-saturate the market. And that's not good for any artist who seeks longevity in the game.

I mean, at one point they were all over the place churning out new tracks every other week. Or at least that's what it seemed like.

At some point one has to take a breather and make the fans long for you.

It's just being strategic. That's all.
 
Hawajajifunza kutoka kwa kaka zao akina Nature na TMK Wanaume Halisi yao?
Hivi hawa watoto wana fan base ya kumfikia Nature?
Mbona alipotea mazima hadi leo?
Shauri zao.
Madogo wamevimba kichwa wamejisahau.!

Kuna siku niliwahi kukutana nao studio flani hivi sio maarufu saaana kuna tangazo audio nilipeleka kufanya mastering kwa producer, ni mwana...
Ndio nikawakuta hawa madogo, daaaahh maneno waliyokuwa wanaongea aisee walinisikitisha sana!
Wamejisahau mno, na wamevimba kichwa.. Hasa huyu Maromboso ndio hopeless kabisa
 
mkuu hapo kwa maromboso hebu funguka kidogo inaonekana kuna kitu.
Where we dare to talk openly...........
Nikimfiria aslay roho inaniuma anakipaji sana
 
Watajijua wenyewe, akili zitakapowarejea wataenda kupiga magoti kwa Fella kama PNC na Ustaadh Juma Namusoma [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Watajijua wenyewe, akili zitakapowarejea wataenda kupiga magoti kwa Fella kama PNC na Ustaadh Juma Namusoma [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Madogo vile wakipita mjini mademu wanaomba selfie wanajiona wizkid..
Si utani wamuulize PNC hahahaha unapoga magoti alafu unaambiwa "subiri usinyanyuke kwanza tukupige picha" hahahahah
 
Mbona simuoni pia fella akiongozana na tale wakiwa na diamond
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Madogo vile wakipita mjini mademu wanaomba selfie wanajiona wizkid..
Si utani wamuulize PNC hahahaha unapoga magoti alafu unaambiwa "subiri usinyanyuke kwanza tukupige picha" hahahahah

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sio kwa kunichekesha huku babe
Uwiiiiiiii
Ile issue ya PNC nilicheka kinoma.
Eti "subiri usinyanyuke kwanza tukupige picha"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hivi bado anaimba PNC au asharudi mwanza???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…