Yamoto ipo wapi??

Yamoto ipo wapi??

Aimbe wapi?Bora arudi zake akavue sato kijana wa watu.

Ila jamaa ana kipaji basi tu.
Msajilini rock star [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Mbana pua mwenzenu yule, anabana pua utadhani mdomoni ana Mashine ya auto tune kama kiba [emoji23] [emoji23]
 
Msajilini rock star [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Mbana pua mwenzenu yule, anabana pua utadhani mdomoni ana Mashine ya auto tune kama kiba [emoji23] [emoji23]

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kiba atakuuwa mwanaume.
Tena subiri siku nikutumie picha niliyopiga nae
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

PNC akipata management nzuri Madale hakuna wa kumfikia,labda kidogo Rayvan.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kiba atakuuwa mwanaume.
Tena subiri siku nikutumie picha niliyopiga nae
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

PNC akipata management nzuri Madale hakuna wa kumfikia,labda kidogo Rayvan.
[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]

Nitumie hiyo Picha uone kama next outing hatujaenda mwembe chai kunywa kahawa na kashata za mia mia huku taratiiiiibuuuu tukishushia na stori za faru john..

Madale hatusajili wabana pua waliomeza mashine za auto tune.. Ndio maana hata kiba asijepe moyo kama kuna siku tutamsajili [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Labda kidogoooo Rucky baby [emoji1] [emoji23]
 
[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]

Nitumie hiyo Picha uone kama next outing hatujaenda mwembe chai kunywa kahawa na kashata za mia mia huku taratiiiiibuuuu tukishushia na stori za faru john..

Madale hatusajili wabana pua waliomeza mashine za auto tune.. Ndio maana hata kiba asijepe moyo kama kuna siku tutamsajili [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Labda kidogoooo Rucky baby [emoji1] [emoji23]

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nisamehe babe,nilikuwa nakutania tu.
Picha na Kiba ya nini mimi?
Wewe watosha.

Thubutuuuuu ile chata hamuipati hadi Dunia inakwisha (Kiba)
Huyo boss wako amekuwa akilia kuipata sauti ya King wewe unaiponda?[emoji87]
Mahaba yamekupofusha bae.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nisamehe babe,nilikuwa nakutania tu.
Picha na Kiba ya nini mimi?
Wewe watosha.

Thubutuuuuu ile chata hamuipati hadi Dunia inakwisha (Kiba)
Huyo boss wako amekuwa akilia kuipata sauti ya King wewe unaiponda?[emoji87]
Mahaba yamekupofusha bae.
Una bahati [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kashata zingehusika.. Ila kuna siku tutaenda pale kwaajili ya pweza hahaha hivi shibam kuna pweza??

Tulishasema na tunasema tena, kama ishu ni sauti tamu basi tungemsajili Wema Sepetu..

Hatuhitaji watu wakiomeza mashine za Auto tune [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Una bahati [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kashata zingehusika.. Ila kuna siku tutaenda pale kwaajili ya pweza hahaha hivi shibam kuna pweza??

Tulishasema na tunasema tena, kama ishu ni sauti tamu basi tungemsajili Wema Sepetu..

Hatuhitaji watu wakiomeza mashine za Auto tune [emoji23] [emoji23] [emoji23]

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kashata napenda ila sio za kutolewa out na babe eti nikale kashata jamani!
Ni zaidi ya adhabu...nitaliaaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Shibam ni mwendo wa sekela,pizza,biriani na chai chai...
Pweza hawakosekani bwana.
Ila wewe utakula pweza wako mimi sekela [emoji39] [emoji6]

Sauti ya kuongea ni tofauti na ya kuimba hun...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] usinikumbushe ile sauti ya Dai kwenye live perfomance ya MTV juzikati
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ulipotea JF wiki!Sio kwa aibu ile...lol
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kashata napenda ila sio za kutolewa out na babe eti nikale kashata jamani!
Ni zaidi ya adhabu...nitaliaaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Shibam ni mwendo wa sekela,pizza,biriani na chai chai...
Pweza hawakosekani bwana.
Ila wewe utakula pweza wako mimi sekela [emoji39] [emoji6]

Sauti ya kuongea ni tofauti na ya kuimba hun...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] usinikumbushe ile sauti ya Dai kwenye live perfomance ya MTV juzikati
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ulipotea JF wiki!Sio kwa aibu ile...lol
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Wapenda shibam wewe, this time its goin be somewhere, a surprise [emoji6] but you will love it.. Kuna yale mambo tulikuwa tunaongea Jana unanitoa ushamba [emoji23]



MTV wenyewe, BET wamesema that was one of the best performances usiku ule.. [emoji123] [emoji123] [emoji85][emoji23]
 
Kundi likifa hapo mtu anayeweza kusimama pekeyake ni Aslay tu, yule Enock Bela atarudi Songea kulima mahindi
 
Fella anakula kiutu uzima tofauti na Tale ye kanogewa kabisa.Tip top imekufa kabaki Madee na Dogo Janja ye hana hata habari yupo busy na mabegi ya Dimond
Japo unaongea kimasihara ila unachosema ndio ukweli wenyewe, nawahurumia kina Tunda man
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Wapenda shibam wewe, this time its goin be somewhere, a surprise [emoji6] but you will love it.. Kuna yale mambo tulikuwa tunaongea Jana unanitoa ushamba [emoji23]



MTV wenyewe, BET wamesema that was one of the best performances usiku ule.. [emoji123] [emoji123] [emoji85][emoji23]

[emoji23] [emoji23] [emoji23] Sio sana kukuzidi wewe bae
Actually napenda sekela wa pale kinoma,nishaenda kula sekela sehemu classic still hawanibariki kama wa pale aiseee

Awwwwww [emoji87] [emoji87] [emoji134] [emoji134] [emoji134] can't wait babe.
Of course...I'll

Hivi kama mlipewa compliments hizo Tuddy Thomas mmemuajiri wa nini?
Au mnadhani hatujui Chibu sasa hivi anajifua kinomanoma kuondoa ile aibu ya MTv isijirudie?

Ila honestly ninachokipenda kwa Dai ni mtu wa kujifunza.
Akiteleza analifanyia kazi ASAP.
[emoji122] [emoji122] [emoji122]

Ajitahidi tu atamkaribia King kwenye live perfomance, kumkaribia coz hatokaa amfikie na anajua na kulikiri hilo.
 
Yule jamaa Dimond kishaiba nyota yao hapo...

Toka atokee kwenye video yao ya Cheza kwa madoido ndio imekula kwao moja kwa moja sasa hivi yupo busy kuiba nyota ya Rich Mavoko
Kweli We Mzaramo!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nisamehe babe,nilikuwa nakutania tu.
Picha na Kiba ya nini mimi?
Wewe watosha.

Thubutuuuuu ile chata hamuipati hadi Dunia inakwisha (Kiba)
Huyo boss wako amekuwa akilia kuipata sauti ya King wewe unaiponda?[emoji87]
Mahaba yamekupofusha bae.
Nasikia Msanii Wako Akiwa Anaimba Mdomo Kama Anapiga Mluzi Au Filimbi
 
Sound engineer tuddy Thomas ni mkuu wa wasafi band
Kazi yake kuu ni kuhakikisha sauti ya mziki audio haitofautiani na ya live band
Bongo tumekuwa na udhaifu wa live band kupiga nyimbo zote kama bolingo, nyimbo zinakuwa slow, na zinasound ya kufanana

Tuddy anakazi ya kuchambua ala zilizomo kwenye nyimbo ya audio na kuhakikisha zinapigwa ipasavyo na live band
 
babu tale na mkubwa fela wanawaogesha kina tiffa
sallam amechukua nafasi yao maana hawajui kiingereza hawana kazi yoyote wasafi ila wapo tu wabeba pampas za zari wale
jiulize diamond mameneja watatu wa nin huku yamoto ikiachwa ife?
Nimecheka mpaka watu wameamka..!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Aimbe wapi?Bora arudi zake akavue sato kijana wa watu.

Ila jamaa ana kipaji basi tu.
Tatizo nyota..!
Naye si aendage kwa Wema nasikiaga heti w
Wema anaswafishaga nyota yaani ukimpitia tu unakuwa maarufu kama "Dawimondu"
 
Hivi band ya Yamoto ipo wapi sikuizi mbona??

Kwa ushindani huu wa sasa naona tunakaribia kuwakosa kimuziki


Chief, uwe unaweka vizuri title, nilivosoma " ya moto iko wapi" nikajua unaulizia maeneo yenye " papuch.i za moto! Moto!!!." Sorry kama ntakuwa nimekukwaza...
 
Back
Top Bottom