Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
YANAYO TUFANYA TUWE WASWAHILI...
1.Unawasalimia watu usiowajuwa na kutaka
urafiki na kila anayetaka kuzungumza na wewe,
halafu unaanza kumwita mtu huyo(usiyemjuwa
undani wake wala tabia zake)aunt au anco!.
2.Asilimia 90 ya CD pamoja na cassete za
muziki ulizonazo nyumbani ni feki (sio original
copies).
3.Stoo yako imejaa vitu (makorokoro) kwa
kuwa hutupi kwa kuamini kuwa ipo siku
utayahitaji kwa mfano karpet ukilitoa hulitupi n.k.
4.Una machupa ya maji matupu na ya shampoo,
chupa za perfume pamoja na vipodozi vingine
umeweka tuu kwenye rafu au meza yako wala
huna shughuli navyo.
5. Watoto wako wote wana majina ya utani
mfano babu ali,chidi,mamu, dida, kibabu, n.k.
6. Hakuna mtu katika familia yako anayetoa
taarifa kwako anapo kuja kukutembelea,
wanajileta tu, hata hawatazami idadi ya watu
wanaokuja wala kufikiria watalala wapi!
7.Mifuko yako imejaa vitu kama vile vijiti vya
kusafishia meno,tissue n.k ulivyochukua
sehemu kama vile mgahawani (Restaurant).
8. Mama yako anamigogoro na ndugu na
hawazungumzi kwa muda wa siku 10 au zaidi.
9.Hupigi simu isipokuwa katika muda ambao
gharama za kupiga ni nafuu(mfano usiku sana
)na mara nyingi huwa una beep tu hutaki kujitia
hasara hata kama wewe ndiye uliye na haja
hiyo.
10.Ulipokua mdogo nguo unazonunuliwa pamoja
na viatu ni vikubwa mara mbili ili uweze kuvivaa
muda mrefu zaidi.
11.Wakati ukisafiri na ndege unabeba mzigo wa
uzito mkubwa kuliko inavyoruhusiwa, kwa kuwa
unataka kumridhisha kila mtu kwa zawadi huko
unakokwenda.
12.Unapomsaidia mtu na akafanikiwa basi
utakuwa unapita na huku unasema kama sio
mimi asingekuwa vile yule.
13. Wale tunaowasaidia wengi wanakosa
shukurani na badala yake wanasema, eti
kaniletea kijisimu hiki, si hata hapa ningeweza
kukipata? Ndio, zawadi ya Ulaya hii?! Halafu
wanacheka!
14. Hatuvai nguo nzuri au mpya na kujipamba
tunapokuwa majumbani mwetu isipokuwa
tunapokwenda maharusini, khitma au kwenye
mialiko ya futari au pale tunapoalikwa vyakula
na marafiki!
NOTE: Basi wapelekee waswahili wengine ili
wajuwe ni kitu gani kinawafanya wao wawe
Waswahili... ......... ......... ..... kama mimi na wewe
, lakini si wakati umefika wa kubadilisha khulka
hizi, zilizopitiwa na wakati? (out dated
traditions and customs)!!?....mmh?
Cheers
|
.
1.Unawasalimia watu usiowajuwa na kutaka
urafiki na kila anayetaka kuzungumza na wewe,
halafu unaanza kumwita mtu huyo(usiyemjuwa
undani wake wala tabia zake)aunt au anco!.
2.Asilimia 90 ya CD pamoja na cassete za
muziki ulizonazo nyumbani ni feki (sio original
copies).
3.Stoo yako imejaa vitu (makorokoro) kwa
kuwa hutupi kwa kuamini kuwa ipo siku
utayahitaji kwa mfano karpet ukilitoa hulitupi n.k.
4.Una machupa ya maji matupu na ya shampoo,
chupa za perfume pamoja na vipodozi vingine
umeweka tuu kwenye rafu au meza yako wala
huna shughuli navyo.
5. Watoto wako wote wana majina ya utani
mfano babu ali,chidi,mamu, dida, kibabu, n.k.
6. Hakuna mtu katika familia yako anayetoa
taarifa kwako anapo kuja kukutembelea,
wanajileta tu, hata hawatazami idadi ya watu
wanaokuja wala kufikiria watalala wapi!
7.Mifuko yako imejaa vitu kama vile vijiti vya
kusafishia meno,tissue n.k ulivyochukua
sehemu kama vile mgahawani (Restaurant).
8. Mama yako anamigogoro na ndugu na
hawazungumzi kwa muda wa siku 10 au zaidi.
9.Hupigi simu isipokuwa katika muda ambao
gharama za kupiga ni nafuu(mfano usiku sana
)na mara nyingi huwa una beep tu hutaki kujitia
hasara hata kama wewe ndiye uliye na haja
hiyo.
10.Ulipokua mdogo nguo unazonunuliwa pamoja
na viatu ni vikubwa mara mbili ili uweze kuvivaa
muda mrefu zaidi.
11.Wakati ukisafiri na ndege unabeba mzigo wa
uzito mkubwa kuliko inavyoruhusiwa, kwa kuwa
unataka kumridhisha kila mtu kwa zawadi huko
unakokwenda.
12.Unapomsaidia mtu na akafanikiwa basi
utakuwa unapita na huku unasema kama sio
mimi asingekuwa vile yule.
13. Wale tunaowasaidia wengi wanakosa
shukurani na badala yake wanasema, eti
kaniletea kijisimu hiki, si hata hapa ningeweza
kukipata? Ndio, zawadi ya Ulaya hii?! Halafu
wanacheka!
14. Hatuvai nguo nzuri au mpya na kujipamba
tunapokuwa majumbani mwetu isipokuwa
tunapokwenda maharusini, khitma au kwenye
mialiko ya futari au pale tunapoalikwa vyakula
na marafiki!
NOTE: Basi wapelekee waswahili wengine ili
wajuwe ni kitu gani kinawafanya wao wawe
Waswahili... ......... ......... ..... kama mimi na wewe
, lakini si wakati umefika wa kubadilisha khulka
hizi, zilizopitiwa na wakati? (out dated
traditions and customs)!!?....mmh?
Cheers
|
.