mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Ikiwa ni Mwisho wa mgogoro kati ya pande mbili zinazohitalifiana. Leo Jijini Mbeya wafuasi wa Askofu Mwaikali wanafurahia kujiunga na mwamvuli wa Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki wakitokea K.K.K.T.
Ni huzuni kubwa kujitenga na kanisa hilo kongwe lililoasisiwa mwaka 1963 baada ya kuunganisha dayosisi saba za wakati huo, lakini hakuna namna zaidi ya kufanya hivyo kwani wakubwa wa kanisa ndio waliotufikisha hapa.
Ni huzuni kubwa kujitenga na kanisa hilo kongwe lililoasisiwa mwaka 1963 baada ya kuunganisha dayosisi saba za wakati huo, lakini hakuna namna zaidi ya kufanya hivyo kwani wakubwa wa kanisa ndio waliotufikisha hapa.