mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Ikiwa ni Mwisho wa mgogoro kati ya pande mbili zinazo hitalifiana. Leo Jijini mbeya wafuasi wa Askofu Mwaikali wanafurahia kujiunga na muamvuli wa kanisa la kirutheri Africa mashariki wakitokea K.K.K.T.
Ni huzuni kubwa kujitenga na kanisa hilo kongwe lililoasisiwa mwaka 1963 baada ya kuunganisha dayosisi saba za wakati huo, lakini hakuna namna zaidi ya kufanya hivyo kwani wakubwa wa kanisa ndio walio tufikisha hapa.
Wakubwa wamezuia kupiga picha? Na lipo sehemu gani ya jiji?Ikiwa ni Mwisho wa mgogoro kati ya pande mbili zinazohitalifiana. Leo Jijini Mbeya wafuasi wa Askofu Mwaikali wanafurahia kujiunga na mwamvuli wa Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki wakitokea K.K.K.T.
Ni huzuni kubwa kujitenga na kanisa hilo kongwe lililoasisiwa mwaka 1963 baada ya kuunganisha dayosisi saba za wakati huo, lakini hakuna namna zaidi ya kufanya hivyo kwani wakubwa wa kanisa ndio waliotufikisha hapa.
Kanisa kongwe mwaka 1963??? [emoji3]Ikiwa ni Mwisho wa mgogoro kati ya pande mbili zinazohitalifiana. Leo Jijini Mbeya wafuasi wa Askofu Mwaikali wanafurahia kujiunga na mwamvuli wa Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki wakitokea K.K.K.T.
Ni huzuni kubwa kujitenga na kanisa hilo kongwe lililoasisiwa mwaka 1963 baada ya kuunganisha dayosisi saba za wakati huo, lakini hakuna namna zaidi ya kufanya hivyo kwani wakubwa wa kanisa ndio waliotufikisha hapa.
Hilo jina halipo ndio jipya,jina lililopo ni Dayosisi ya Konde.Hilo jina limepata usajili hapa??
Kwa maana huwezi ukaanzisha kanisa jipya kwa jina ambalo tayari lipo.
Ni kuwachanganya waumini.
Kwanini kwa busara tu msitafute jina jingine??
Maana huko ni kuendeleza migogoro wakati lengo ni kutoa huduma ya kiroho.
Sijakuelewa mkuu, walutheri wanajiunga na walutheri?Ikiwa ni Mwisho wa mgogoro kati ya pande mbili zinazohitalifiana. Leo Jijini Mbeya wafuasi wa Askofu Mwaikali wanafurahia kujiunga na mwamvuli wa Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki wakitokea K.K.K.T.
Ni huzuni kubwa kujitenga na kanisa hilo kongwe lililoasisiwa mwaka 1963 baada ya kuunganisha dayosisi saba za wakati huo, lakini hakuna namna zaidi ya kufanya hivyo kwani wakubwa wa kanisa ndio waliotufikisha hapa.
Hapana, liitwe K.K.K MwaikaliTena lingeitwa kabisa K.K.K Tanganyika
Ni tofauti mkuu. Kuna kanisa la kiinjili la kirutheri Tanzania, kuna kanisa la kirutheri la Africa mashariki yote yalikuwepo TanzaniaHilo jina limepata usajili hapa??
Kwa maana huwezi ukaanzisha kanisa jipya kwa jina ambalo tayari lipo.
Ni kuwachanganya waumini.
Kwanini kwa busara tu msitafute jina jingine??
Maana huko ni kuendeleza migogoro wakati lengo ni kutoa huduma ya kiroho.
Kanisa kongwe mwaka 1963??? [emoji3]