Yanayoendelea kwenye kambi ya Singida Big Stars jijini Arusha (Pre-season Camp)

Yanayoendelea kwenye kambi ya Singida Big Stars jijini Arusha (Pre-season Camp)

Hussein Massanza

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
1,016
Reaction score
2,195
Watu wa Soka,

Timu yetu Singida Big Stars imeweka kambi hapa Njiro jijini Arusha kwa ajili ya kujiandaa na msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2022/23.

Tulichagua kuweka kambi (Pre season camp) hapa Arusha kutokana na sababu kadhaa ikiwemo hali ya hewa nzuri na mazingira yenye utulivu katika mitaa hii ya Njiro. Pia kukimbizana na muda na kuwa na maandalizi ya uhakika ikizingatiwa tumefanya usajili wa wachezaji wapya ambao wanahitaji muda wa kutosha kuweza kuunganika na wachezaji wetu waliomo kikosini tangu msimu wa Championship. Hakika ulikuwa ni uamuzi sahihi!

Wapenzi na mashabiki wetu na wadau wote wa soka kwa ujumla, kupitia uzi huu mtapata kufahamu mambo yanayoendelea na updates zote muhimu kuhusu timu katika kipindi chote tutakachokuwepo hapa kambini jijini Arusha.
IMG_6155.jpg
IMG_6157.jpg
IMG_6160.jpg
IMG_6170.jpg
IMG_6171.jpg
IMG_6172.jpg
IMG_6176.jpg
IMG_6179.jpg
 
DAY 1

Siku ya kwanza kambini timu ilipata wasaa wa kufika kwenye uwanja wa mazoezi na kuanza ratiba bila kuchelewa.
IMG_6185.jpg
IMG_6187.jpg
IMG_6189.jpg
IMG_6190.jpg
IMG_6200.jpg
IMG_6201.jpg
IMG_6190.jpg
 

Attachments

  • IMG_6202.jpg
    IMG_6202.jpg
    2.2 MB · Views: 8
  • IMG_6196.jpg
    IMG_6196.jpg
    2.3 MB · Views: 8
  • IMG_6204.jpg
    IMG_6204.jpg
    1.7 MB · Views: 7
DAY 1

Siku ya kwanza kambini timu ilipata wasaa wa kufika kwenye uwanja wa mazoezi na kuanza ratiba bila kuchelewa.

Kama kuna mwamba umemuona unayemkubali mtaje na useme neno moja kwake, atasoma hapa!
IMG_6185.jpg
IMG_6200.jpg
IMG_6202.jpg
 

Attachments

  • IMG_6186.jpg
    IMG_6186.jpg
    2.1 MB · Views: 6
  • IMG_6190.jpg
    IMG_6190.jpg
    2 MB · Views: 5
  • IMG_6192.jpg
    IMG_6192.jpg
    2.3 MB · Views: 6
  • IMG_6205.jpg
    IMG_6205.jpg
    1.9 MB · Views: 6
  • IMG_6211.jpg
    IMG_6211.jpg
    2.3 MB · Views: 5
  • IMG_6224.jpg
    IMG_6224.jpg
    2.4 MB · Views: 6
Watu wa Soka,

Timu yetu Singida Big Stars imeweka kambi hapa Njiro jijini Arusha kwa ajili ya kujiandaa na msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2022/23.

Tulichagua kuweka kambi (Pre season camp) hapa Arusha kutokana na sababu kadhaa ikiwemo hali ya hewa nzuri na mazingira yenye utulivu katika mitaa hii ya Njiro. Pia kukimbizana na muda na kuwa na maandalizi ya uhakika ikizingatiwa tumefanya usajili wa wachezaji wapya ambao wanahitaji muda wa kutosha kuweza kuunganika na wachezaji wetu waliomo kikosini tangu msimu wa Championship. Hakika ulikuwa ni uamuzi sahihi!

Wapenzi na mashabiki wetu na wadau wote wa soka kwa ujumla, kupitia uzi huu mtapata kufahamu mambo yanayoendelea na updates zote muhimu kuhusu timu katika kipindi chote tutakachokuwepo hapa kambini jijini Arusha.

View attachment 2303031View attachment 2303032View attachment 2303033View attachment 2303034View attachment 2303036
Mbona wana furaha sana! Mnawapa nini wachezaji wenu? Hongereni sana.
 
Kufanya vizuri kwenye ligi kuu na michuano yote tutakayoshiriki mkuu. More specifically tunatarget top 4 kwenye Ligi na inshaallah tutafanikiwa.
Kufanya vizuri kwa maana ipi? KUTARGET TOP 4 SIO KAZI RAHISI, MMEFANYA MIKAKATI IPI KUHAKIKISHA MNAIPATA TOP 4?
 
Baada ya Kyomo kuwakimbia mmemchukua striker gani kama mbadala wa kuziba hilo pengo lake
 
Kufanya vizuri kwa maana ipi? KUTARGET TOP 4 SIO KAZI RAHISI, MMEFANYA MIKAKATI IPI KUHAKIKISHA MNAIPATA TOP 4?

Mikakati ni usajili na maboresho yanayoendelea kwenye klabu. Tunafahamu kuna ushindani kwenye ligi, ndio maana tuko kambini kujiandaa vizuri na panapo majaliwa tutafikia malengo.
 
Mikakati ni usajili na maboresho yanayoendelea kwenye klabu. Tunafahamu kuna ushindani kwenye ligi, ndio maana tuko kambini kujiandaa vizuri na panapo majaliwa tutafikia malengo.
Je, usajili wa masalia una manufaa kwenu? Yaani wachezaji walikuwa wanasugua benchi timu walizoachwa ndio mje kuwatumia kupata ubingwa?
 
Baada ya Kyomo kuwakimbia mmemchukua striker gani kama mbadala wa kuziba hilo pengo lake

Asante mkuu. Labda nifafanue hivi:

1. Kyombo hajatukimbia, ametumia haki yake kwa mujibu wa mkataba. Hatuna tatizo nae.
2. Kyombo hakuwa chaguo pekee, tumefanya usajili madhubuti kwenye safu ya ushambuliaji. Wapo wengi wazuri zaidi na tutawatambulisha kabla dirisha la usajili halijafungwa.
 
Welldone mkuu, kwangu it make sense kabisa kuwa na kambi ndani ya nchi, why ukafanye mazoezi ughaibuni na kesho mnakuja kucheza game kwenye uwanja kama mkwakwani au majimaji au sokoine (viwanja vyote hivi vinafaa to train horses sio kucheza mpira wa miguu)
 
Back
Top Bottom