Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo inavyotakiwa Ili wahame.View attachment 2286975
Wananchi waliambiwa ni beacons tu zinawekwa hakutakuwa na kuondolewa wala kusumbuliwa wasichunge na wengine tukaamini huenda ni mipaka tu inawekwa , ila kwa sasa mifugo kwa mamia inakamatwa na watu kulipa pesa nyingi sana kuzikomboa
Hizo kodi mbona kawaida kwa mapori/hifadhi zote!Kuna matajiri kweli kweli huko mmasai analipa kodi ya million 10 si mchezo. .
Alafu utakuta unapost ukiwa umenyoosha miguu sebuleni kwa shemeji yako ukiwa unasubili Dada wa kazi akuletee chakula mezani.Hiyo ni faini amepigwa mpuuzi mmoja kwa kuingiza mifugo kwenye pori la akiba wala sio ngorongoro
Ngorongoro iko chini ya TAWA? Acheni upuuzi wa kushabikia utumbo
kwa kweli hawa watawala hawana dalili zozote za kushiba.💰Na bado kuna watu wanaamini wataleta vichwa na mabehewa mapya kwa ajili ya SGR wakishatanguliza ya Mtumba kama walivyoahidi.
Wewe unajua kiundani kuhusu jambo hili?,Hivi Wamasai Ngorongoro walianza kuishi lini?.Sheria zifuatwe.
Wamasai ni nani mpaka waonekane special katika nchi hii?
Ukitumia lugha nzuri tungekuelewa tu mkuu.Hiyo ni faini amepigwa mpuuzi mmoja kwa kuingiza mifugo kwenye pori la akiba wala sio ngorongoro
Ngorongoro iko chini ya TAWA? Acheni upuuzi wa kushabikia utumbo
Inalazimu kucheka tu mambo haya!
Wananchi waliambiwa ni beacons tu zinawekwa hakutakuwa na kuondolewa wala kusumbuliwa wasichunge na wengine tukaamini huenda ni mipaka tu inawekwa , ila kwa sasa mifugo kwa mamia inakamatwa na watu kulipa pesa nyingi sana kuzikomboa.