EeeenHeeeee!Na bado kuna watu wanaamini wataleta vichwa na mabehewa mapya kwa ajili ya SGR wakishatanguliza ya Mtumba kama walivyoahidi.
WaTanzania ni 'slow' sana katika kujifunza mambo.
Lakini naamini kuna siku wataanza kuelevuka na kutambua uongo mwingi wanaoambiwa kila siku.