Yanayoendelea Wilayani Hai ni mkakati maalum

Nishavuruga mtu huko
VIDEO YA CCTV CAMERA IKIMUONYESHA MKUU WA WILAYA YA HAI AKITESA MTU NA WATU WAKE.
 
Acheni kutumia nguvu tumieni akili.
 
Pamoja na hoja zako mfu hapo juu unatoa maelezo gan kuhusu video zilizotumwa????
Ni sawa ukamatwe na mbuzi uliemuiba halaf uanze kujitetea kwamba huyu aliyenikamata anatembea nje ya ndoa cjui ana deni kwa mangi hajalipa mara analewaga ,hizo ni kelele za mfa maji ww tueleze huyu mbuz uliyemuiba imekuwaje
 
Haya maisha mtu unatumia akili nguvu kutafuta angalau maisha bora anakuja stranglers anakufanya uishi kama panya mbaya sana haikubaliki aisee 🤔

Kwa kweli nimesoma lakini nimekosa kabisa uhusiano wa huo ugomvi na myonge wa hapo hai.

Kumtetea mporaji Sabaya ni sawa na kujipaka kinyesi cha binadamu mwili mzima , huna uwezo wa kumtetea Sabaya hata kama umelipwa .

Rudisha hela za watu haraka sana .

Haya maisha mtu unatumia akili nguvu kutafuta angalau maisha bora anakuja stranglers anakufanya uishi kama panya mbaya sana haikubaliki aisee 🤔
Mods wamefuta Uzi wa VIDEO YA CCTV CAMERA IKIMUONYESHA MKUU WA WILAYA YA HAI AKITESA MTU NA WATU WAKE
Hapo nimeweka Nondo kumuhusu Sabaya
 
Haya maisha mtu unatumia akili nguvu kutafuta angalau maisha bora anakuja stranglers anakufanya uishi kama panya mbaya sana haikubaliki aisee 🤔

Kwa kweli nimesoma lakini nimekosa kabisa uhusiano wa huo ugomvi na myonge wa hapo hai.

Kumtetea mporaji Sabaya ni sawa na kujipaka kinyesi cha binadamu mwili mzima , huna uwezo wa kumtetea Sabaya hata kama umelipwa .

Rudisha hela za watu haraka sana .

Haya maisha mtu unatumia akili nguvu kutafuta angalau maisha bora anakuja stranglers anakufanya uishi kama panya mbaya sana haikubaliki aisee 🤔
Mods wamefuta Uzi wa VIDEO YA CCTV CAMERA IKIMUONYESHA MKUU WA WILAYA YA HAI AKITESA MTU NA WATU WAKE
Hapo nimeweka Nondo kumuhusu Sabaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…